Juzi tumeona Kaka wa Rais anafunga ndoa kwenye IKULU ya Bagamoyo.
Nikajiluliza Tz tuna Ilkulu ngapi?
Wakati wa Mwalimu ,nilikuwa nasikia Ikulu ndogo ya Chamwino,sikuwahi kusikia IKULU ya Butiama,zaidi ya kuwa nyumbani kwa Mwalimu.
Sasa najiluliza lini Bagamoyo kuwe na IKULU,rather nyumbani kwa rais?
Je Mwniyi alikuwa na ikulu kwao alipozaliwa?
Mmakonde mwenzangu MKAPA wapi?
Samuel Sitta eti naye ana ofisii ya Spika kwao URAMBO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Najiluliza waTz tunaelekea wapi?Hakuna mtu wa kusema enough is enough?
Taxpayers money zinaliwa ovyo wakati watoto wetu wako ovyo ovyo huko vijijini?
Nikajiluliza Tz tuna Ilkulu ngapi?
Wakati wa Mwalimu ,nilikuwa nasikia Ikulu ndogo ya Chamwino,sikuwahi kusikia IKULU ya Butiama,zaidi ya kuwa nyumbani kwa Mwalimu.
Sasa najiluliza lini Bagamoyo kuwe na IKULU,rather nyumbani kwa rais?
Je Mwniyi alikuwa na ikulu kwao alipozaliwa?
Mmakonde mwenzangu MKAPA wapi?
Samuel Sitta eti naye ana ofisii ya Spika kwao URAMBO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Najiluliza waTz tunaelekea wapi?Hakuna mtu wa kusema enough is enough?
Taxpayers money zinaliwa ovyo wakati watoto wetu wako ovyo ovyo huko vijijini?