Rais, Ikulu mpya wafukuze TISS warudi enzi za Nyerere kuwa acting vichaa Ili kuliponya Taifa

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,013
8,369
Mh Rais nakupongeza Kwa kulifungua jengo kubwa la ikulu mpya.

Mh Rais' naomba jumapili ya Leo uungane na Mimi na Taifa Kwa ujumla kumwombea Mh Rais' Dr John Joseph Magufuli Mwenyezi Mungu akapate kumrehemu.

Mh Rais' enzi za utawala wa Rais' wa kwanza wa Tanzania Yaani Julius Kambarage Nyerere, mie nilikuwa Bado mdogo ila Kuna vitu niliweza kuviona,moja ni mfumo mzuri wa ulinzi wa nchi hii kupitia idara ya Usalama wa Taifa.

Niliwai kushuhudia watu walio kuwa wakifanya kazi nzuri ila wakijigeuza vichaa kabisa,Kuna mmoja aliishi maeneo ya Namanga makangira,yaani Huyu bwana alikuwa akionekana punde tu kama Kuna kiongozi atakuja kwenye maduka ya wapemba kufanya shopping,Huyu bwana tulimuona mara moja moja sana akiwa anapita mwalimu,ila tulimwona sana enzi za Jakaya maana Jakaya na namanga pale palikuwa maskani na hata mtoto wake miraji alikuwa na marafiki zake watoto wa Mzee kiingi,kijana mmoja sijui Yuko wapi Siku hizi aliitwa Yusup, (huyu kijana alimfanya Miraji haache shule nakumbu,Siku moja Mzee kikwete alikujaga pale namanga kumkamata miraji aende shule,dogo alijibu sheet sana chezea mtoto wa Waziri unasoma Ili iweje?

Mh Rais ushauri wangu ikulu yangu ni mpya nzuri inapendeza ila wanao ingia humo wataitia najisi

Haiwezekani watu wanao shindwa kuchunguza majizi yanayo tuibia mabilioni ya fedha ambao ni watumishi wa Umma Kila Siku wanatajwa na mkaguzi mkuu wa serikali,uingie nao ikulu yangu mpya.

Tafadhali wambie waache kutuvalia kaunda suti wanazitia najisi,warudi vichakani barabarani.wawe kama vichaa
 
Cag anagundua wizi na ubadhilifu kwa sababu amesomea utaalamu ambao wezi was kalamu wanao ila wanautumia vibaya, Cha kujiuliza Tiss Wana utaalamu huo.
 
Unataka watu wawe machizi kwa dunia ya technology? Huu ushauri haufai sababu hauendani na nyakati.
Mh Rais nakupongeza Kwa kulifungua jengo kubwa la ikulu mpya.

Mh Rais' naomba jumapili ya Leo uungane na Mimi na Taifa Kwa ujumla kumwombea Mh Rais' Dr John Joseph Magufuli Mwenyezi Mungu akapate kumrehemu.

Mh Rais' enzi za utawala wa Rais' wa kwanza wa Tanzania Yaani Julius Kambarage Nyerere, mie nilikuwa Bado mdogo ila Kuna vitu niliweza kuviona,moja ni mfumo mzuri wa ulinzi wa nchi hii kupitia idara ya Usalama wa Taifa.

Niliwai kushuhudia watu walio kuwa wakifanya kazi nzuri ila wakijigeuza vichaa kabisa,Kuna mmoja aliishi maeneo ya Namanga makangira,yaani Huyu bwana alikuwa akionekana punde tu kama Kuna kiongozi atakuja kwenye maduka ya wapemba kufanya shopping,Huyu bwana tulimuona mara moja moja sana akiwa anapita mwalimu,ila tulimwona sana enzi za Jakaya maana Jakaya na namanga pale palikuwa maskani na hata mtoto wake miraji alikuwa na marafiki zake watoto wa Mzee kiingi,kijana mmoja sijui Yuko wapi Siku hizi aliitwa Yusup, (huyu kijana alimfanya Miraji haache shule nakumbu,Siku moja Mzee kikwete alikujaga pale namanga kumkamata miraji aende shule,dogo alijibu sheet sana chezea mtoto wa Waziri unasoma Ili iweje?

Mh Rais ushauri wangu ikulu yangu ni mpya nzuri inapendeza ila wanao ingia humo wataitia najisi

Haiwezekani watu wanao shindwa kuchunguza majizi yanayo tuibia mabilioni ya fedha ambao ni watumishi wa Umma Kila Siku wanatajwa na mkaguzi mkuu wa serikali,uingie nao ikulu yangu mpya.

Tafadhali wambie waache kutuvalia kaunda suti wanazitia najisi,warudi vichakani barabarani.wawe kama vichaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutenganisha TISS na Ikulu ni sawa na kusema meli ipite barabarani ndege ipite majini na gari lipite angani.

Usalama wa rais utakuwa mdogo Sana TISS wakiwa nje ya Ikulu!!!

Ndio maana majaribio ya kupinduliwa kwa Nyerere yalikuwa mengi!!!.
 
Kwa sasa nadhani hatuna tena TISS iliyosimama!
Pia kuingiza vijana wasio na weledi ktk eneo hili kwa kuwa tu ni mtoto wa mkubwa!
Ingekuwepo haya ya wizi wa kalamu unaofanywa na wakubwa wetu usingekuwepo!
Hata teuzi wa watu wa hovyo kabisa usingekuwepo kwani lazima wangetia neno!
Ndio maana tumekuwa na viongozi tena wa level ya juu wasio na maadili kabisa!
 
Kama tu rais wa sasa anapuyanga,wao ni wakinanani wafanye kila kitu kwa ufasaha?ukiangalia kila taasis hapa tz haitimizi wajibu wake kwa usahihi.Kila sehemu ni uozo.
 
TISS walilofanikiwa ni kudhibiti wizi wa mitihani tu (darasa la 4 hadi kidato cha sita), maana Walimu ndo wanyonge wao wanaowamudu. Kwenye wizi mwingine inaonekana hawawezi kabisa.
 
Mh Rais nakupongeza Kwa kulifungua jengo kubwa la ikulu mpya.

Mh Rais' naomba jumapili ya Leo uungane na Mimi na Taifa Kwa ujumla kumwombea Mh Rais' Dr John Joseph Magufuli Mwenyezi Mungu akapate kumrehemu.

Mh Rais' enzi za utawala wa Rais' wa kwanza wa Tanzania Yaani Julius Kambarage Nyerere, mie nilikuwa Bado mdogo ila Kuna vitu niliweza kuviona,moja ni mfumo mzuri wa ulinzi wa nchi hii kupitia idara ya Usalama wa Taifa.

Niliwai kushuhudia watu walio kuwa wakifanya kazi nzuri ila wakijigeuza vichaa kabisa,Kuna mmoja aliishi maeneo ya Namanga makangira,yaani Huyu bwana alikuwa akionekana punde tu kama Kuna kiongozi atakuja kwenye maduka ya wapemba kufanya shopping,Huyu bwana tulimuona mara moja moja sana akiwa anapita mwalimu,ila tulimwona sana enzi za Jakaya maana Jakaya na namanga pale palikuwa maskani na hata mtoto wake miraji alikuwa na marafiki zake watoto wa Mzee kiingi,kijana mmoja sijui Yuko wapi Siku hizi aliitwa Yusup, (huyu kijana alimfanya Miraji haache shule nakumbu,Siku moja Mzee kikwete alikujaga pale namanga kumkamata miraji aende shule,dogo alijibu sheet sana chezea mtoto wa Waziri unasoma Ili iweje?

Mh Rais ushauri wangu ikulu yangu ni mpya nzuri inapendeza ila wanao ingia humo wataitia najisi

Haiwezekani watu wanao shindwa kuchunguza majizi yanayo tuibia mabilioni ya fedha ambao ni watumishi wa Umma Kila Siku wanatajwa na mkaguzi mkuu wa serikali,uingie nao ikulu yangu mpya.

Tafadhali wambie waache kutuvalia kaunda suti wanazitia najisi,warudi vichakani barabarani.wawe kama vichaa

Wake up you idiot, hautuishi miaka ya 60 tena, dunia inabadilika na mbinu pianzinabadilika. Kumjua mwizi na kumchukulia hatua ni vitu viwili tofauti
 
Back
Top Bottom