Alinda
Platinum Member
- Jun 26, 2008
- 1,695
- 2,145
JK mkamate ilunga,
halafu nashangaa mbona jk hatangazi kuwa mtu akikamatwa anauza CD za uchochezi ama lake?? kuna nini jk anaogopa??
mbona hamkamati ilunga?
Kwa kweli hata mie hapa ndio huwa sielewi kabisaa, nikijaribu kulinganisha ile video ya Lwaka na ya Ilunga ndio huwa ninapata kizunguzungu! sasa taratibu ninaweza kuamini post no.22 maana ukiconnect dot. ni kama ninapata jibu ingawaje sitaki kuamini kuwa post no.22 ni kweli kuwa Rais anaweza kufanya vikao na Ilunga...