regam
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 269
- 51
Jamani wana jf inakera saaaana! Kuna tetesi kuwa eti sherehe za kutimiza miaka 50 ya UDSM zikiambatana na uchangiaji wa student center zitafanyika ikulu mwishoni mwa mwezi huu wa kwanza. Inasemekana wageni waalikwa ni walewale wafisadi papa wanaoitafuna nchi hii km RA, EL,na wafanyabiashara maarufu hapa tanzania. Cha kujiuliza ni kwamba, hii sherehe ni ya chuo kikuu, kwa nini isingefanyika hapo chuo halafu wao na huyo jeykei akaalikwa? Nafananisha na ukumbi wa sherehe kwani tangu mwaka uanze ikulu imekuwa booked ile mbaya! Bethdei, etc.
Wenye data zaidi changieni.
Wenye data zaidi changieni.