Ikulu siyo mahali patakatifu, ni mahali pa heshima tu

kabindi

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
333
120
Huwa napatwa na ukakasi kusikia kwamba Ikulu ni mahali patakatifu. Utakatatifu ni zaidi ya heshima. Utakatifu unahusiana na Imani ambapo lazima yawepo mawasiliano ya ki- Imani kupitia maombi kati ya mwombaji na Mwenyezi Mungu.

Mahali patakatifu ni sehemu ambayo kupitia maombi miujiza inaweza kujidhihirisha au kupata majibu ya maombi. Ukichukulia Ikulu zetu hizi na hasa za Kia-Afrika ambapo viongozi tunaowapa dhamana au wanaojipa dhamana ya kuongoza watu wao huwa wamezungukwa makandokando
aidha kabla hawajaingia na baada ya kutoka, ni dhihaka kubwa kusema Ikulu ni mahali patakatifu.
 
Kabindi ukichokiandika ni kweli tupu. Haiwezekani ikulu paitwe ni mahali patakatifu wakati tumekuwa tukishuhudia ndipo kufuru za Kila aina zinapofanyika na kupewa baraka na waliopo pale mfano matumizi ya madaraka vibaya na hivyo kuzaa upendeleo kwa wachache, rushwa na ufisadi mwingine wa aina zote. Pia ni sehemu ambayo wale wote wanaotamani kuingia pale (wagombea wa urais) uanza kupanajisi hata kabla ya kuingia huko kwa kutoa ahadi zisizo na ukweli wa kutimizwa, kutoa rushwa kwa wapiga kura, kuzushia uongo wagombea wenzao,kwenda kwa waganga wa kienyeji hadi kufikia hatua ya kutoa kafara za damu n.k.
 
Huwa napatwa na ukakasi kusikia kwamba Ikulu ni mahali patakatifu. Utakatatifu ni zaidi ya heshima. Utakatifu unahusiana na Imani ambapo lazima yawepo mawasiliano ya ki- Imani kupitia maombi kati ya mwombaji na Mwenyezi Mungu.

Mahali patakatifu ni sehemu ambayo kupitia maombi miujiza inaweza kujidhihirisha au kupata majibu ya maombi. Ukichukulia Ikulu zetu hizi na hasa za Kia-Afrika ambapo viongozi tunaowapa dhamana au wanaojipa dhamana ya kuongoza watu wao huwa wamezungukwa makandokando
aidha kabla hawajaingia na baada ya kutoka, ni dhihaka kubwa kusema Ikulu ni mahali patakatifu.

Basi na neno "Mtukufu rais" liachwe. Maana neno MTUKUFU means aliye tukuka au mtakatifu au auishie utakatifu. So rais na bunge havina haja hata wale mapilato kule high court nao tusiseme " kama ikikupendeza mtukufu jaji...."
 
Basi na neno "Mtukufu rais" liachwe. Maana neno MTUKUFU means aliye tukuka au mtakatifu au auishie utakatifu. So rais na bunge havina haja hata wale mapilato kule high court nao tusiseme " kama ikikupendeza mtukufu jaji...."

Sina hakika kama neno "Mtukufu" ni sawa na neno "Mtakatifu", though mantiki inabaki pale pale kwamba IKULU siyo mahali patakatifu
 
maghufuli ni bomu sana. yaani anatumia ukabila kujinadi. siwezi kumpa kura yangu mbaguzi mkubwa kama huyu....
 
Pamoja na yote tarehe 25 tuahikishe hatumpeleki mpiga dili hasije akaipiga bei bure.
Unazungumzia yule aliyepiga bei nyumba zetu za serikali hadi wasiostahili akawapa? Maana yule tunaweza kuja kushangaa ameuza hata hili jumba la ikulu!
 
Ikulu ni ofisi ya Taasisi kuu ya serikali, ni kweli si mahali patakatifu
 
Kuna kitu mmeshindwa kukielewa juu ya maana utakatifu, sehemu takatifu ni sehemu ambayo au ambapo panaheshimika na unajisikia hofu kufanya dhambi na hofu yenyewe si ya kisheria bali ni hofu ya kimungu
Sasa kama mtu anafanyia dhambi ikulu hiyo haiondoi utakatifu wa ikulu. Kwa sababu hata sisi wakristo Tunaamini madhabahuni ni sehemu takatifu lakini wachungaji wanapatumia kupigia dili lakini hii haiondoi utakatifu wa madhabahu.
 
Huwa napatwa na ukakasi kusikia kwamba Ikulu ni mahali patakatifu. Utakatatifu ni zaidi ya heshima. Utakatifu unahusiana na Imani ambapo lazima yawepo mawasiliano ya ki- Imani kupitia maombi kati ya mwombaji na Mwenyezi Mungu.

Mahali patakatifu ni sehemu ambayo kupitia maombi miujiza inaweza kujidhihirisha au kupata majibu ya maombi. Ukichukulia Ikulu zetu hizi na hasa za Kia-Afrika ambapo viongozi tunaowapa dhamana au wanaojipa dhamana ya kuongoza watu wao huwa wamezungukwa makandokando
aidha kabla hawajaingia na baada ya kutoka, ni dhihaka kubwa kusema Ikulu ni mahali patakatifu.

Tatizo ni kile kibabu kiliwaaminisha watanzania hivyo .
 
Huwa napatwa na ukakasi kusikia kwamba Ikulu ni mahali patakatifu. Utakatatifu ni zaidi ya heshima. Utakatifu unahusiana na Imani ambapo lazima yawepo mawasiliano ya ki- Imani kupitia maombi kati ya mwombaji na Mwenyezi Mungu.

Mahali patakatifu ni sehemu ambayo kupitia maombi miujiza inaweza kujidhihirisha au kupata majibu ya maombi. Ukichukulia Ikulu zetu hizi na hasa za Kia-Afrika ambapo viongozi tunaowapa dhamana au wanaojipa dhamana ya kuongoza watu wao huwa wamezungukwa makandokando
aidha kabla hawajaingia na baada ya kutoka, ni dhihaka kubwa kusema Ikulu ni mahali patakatifu.
Umenena vema. Ikulu sio mahali patakatifu wala hapajawahi kuwa patakatifu. Ikulu ni nyumba/ofisi ya kiongozi mkuu wa nchi. PERIOD.

Hata "white" house ni jina tu kutokana na rangi ya jengo tu ila yaliyomo ndani yake "black" ina nafuu.
 
Hawa nao wanataka kwenda
 

Attachments

  • 1445472122819.jpg
    1445472122819.jpg
    13.4 KB · Views: 187
Back
Top Bottom