Julius K. Nyerere: Ikulu ni pahali patakatifu, sio pango la wanyang'anyi

Patakatifu wapi? Hio ni miongoni mwa porojo za Mwalimu ili utawala uogopwe. Ikulu mahali pabaya pa kuwakandamiza raia na mkuu kula kuku kwa mrija.
 
Patakatifu wapi? Hio ni miongoni mwa porojo za Mwalimu ili utawala uogopwe. Ikulu mahali pabaya pa kuwakandamiza raia na mkuu kula kuku kwa mrija.

Basi kama ni hivyo kwanini tusikatae kwa vitendo hii kauli ya nyerere, au labda alikuwa na maana gani?
 
Lowassa hapakanyagi kwa kuwa anapafanyia timing lakini nadhani ni bora akatafuta shughuli nyengine ya kufanya kwani nionavyo mimi na upepo unavyokwenda itakuwa ni pagumu yeye kupakalia!
 
Inategemea na definition yako ya utakatifu... kwa definitiion yangu na ya watanzania walio wengi (wa hali ya chini na wanaharakati), NOPE..
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Willbrod Slaa amesema Bungeni ni mahali Patakatifu kuliko hata Ikulu na kumshangaa Spika wa Bunge anavyotumika na mafisadi kulifanya Bunge kuwa mahali pa kuhalalishia dhuluma kwa rasilimali za Watanzania. Slaa aliyasema hayo katika Mkutano maalum wa mapokezi ya Wabunge wa CHADEMA uliofanyika tarehe 10/02/2013 katika Viwanja vya Temeke jijini Dar es salaam.
 
Ahh tehteh Dr wape mambo wanadhan kila kitu ni ufisadi tuuu. Uwongo haustahimili ukweli ukweli una nguvu kuliko uwongo
 
Ndio maana akaukimbia ubunge na kuutaka urais,twi twiiii twiiiii
 
Hivi wewe Dr. Slaa una unndugu na Baba wa Taifa Mwl. Julius K Nyerere...?

Katiba ijayo lazima itamke kuwepo nafasi ya Baba wa Taifa wa pili..
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Willbrod Slaa amesema Bungeni ni mahali Patakatifu kuliko hata Ikulu na kumshangaa Spika wa Bunge anavyotumika na mafisadi kulifanya Bunge kuwa mahali pa kuhalalishia dhuluma kwa rasilimali za Watanzania. Slaa aliyasema hayo katika Mkutano maalum wa mapokezi ya Wabunge wa CHADEMA uliofanyika tarehe 10/02/2013 katika Viwanja vya Temeke jijini Dar es salaam.
Kama hayo yanatoka moyoni kwake n kwanini aliacha ubnge na kujarbu kukimbilia Ikulu? "Watu wanao kimbilia ikulu tuwangope kama UKIMWI"
 
Hakika ni mahala ambapo maisha ya sisi Watanzania yanajadiliwa jambo la kuhuzunisha ni kwamba hawa wawakilishi wetu wanaenda na VIDUMU na kuishi navyo huko hadi dhana nzima ya Bunge inapotea.
 
Bunge ni chombo nyeti sana..nashangaa kinapofika wakati kinaongozwa kikada kada....

Nitamkumbuka SITTA daima...huyu jamaa alirudisha hadhi ya BUNGE sana, cha ajabu hawa wa sasa wameharibu kila kitu.....
 
Hakika ni mahala ambapo maisha ya sisi Watanzania yanajadiliwa jambo la kuhuzunisha ni kwamba hawa wawakilishi wetu wanaenda na VIDUMU na kuishi navyo huko hadi dhana nzima ya Bunge inapotea.
 
Back
Top Bottom