N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,826
- 9,533
Ukiwa nazo wewe inatosha.Aiseee kumbe we naye huna akili
Ukiwa nazo wewe inatosha.Aiseee kumbe we naye huna akili
Mbona hukupinga Ujenzi wakeUkubwa wa eneo wala sioni kama ni tatizo, mkuu. Kosa lao ni kulifanya kipaumbele kana kwamba bila hiyo ikulu Mtanzania wa kawaida atashindwa kula na kulala.
Viongozi wa Afrika wako busy kujipalia sifa uchwara, wakati raia wao ni hohe hahe. Hawa wala-nchi ni shida kweli kweli.
Umewahiona ndege inatua barabarani au njiani?Watz mnalawama,Sasa bila Barbara ya kutua ndege,ndege ya rais itue vichakani?
Pia sikuona sababu ya Ikulu kuwa na eneo kubwa vile, operations costs ni kubwa sana
Kulikuwa hakuna haja ya kuhamishia makao makuu ya serikali kwenda Dodoma.Je, kuna ulazima wa yafuatayo au ni kupoteza pesa za walipa kodi?
NB: Kama wanatimiliza Ndoto ya Nyerere kwanini Complex isiitwe Nyerere Complex au iitwe aliyeanzisha Ujenzi Magufuli Complex. Kwanini iitwe Samia Complex?
- Kujenga Njia ya Kuruka Ndege Ikulu.
- Ujenzi wa Viwanja vya Golf.
- Ujenzi wa Complex ya watu 2000-3000
Je, Watanzania tuna kodi kiasi hicho kujenga Ikulu ya namna hiyo? Kuna ulazima gani?
Je, nani mnufaika wa hayo yote?
Kwanini hizo pesa zisiende kwenye elimu ya awali na msingi maana huko ndo chanzo cha madudu ya huku juu?
Kati ya aliyeiota, aliyeisimulia na aliyeifanyia kazi ikatimia, ni nani wa thamani kwako?NB: Kama wanatimiliza Ndoto ya Nyerere kwanini Complex isiitwe Nyerere Complex au iitwe aliyeanzisha Ujenzi Magufuli Complex. Kwanini iitwe Samia Complex?
KODI ZETU COMPLEXKwa nini iitwe majina yao kwanza huu ujinga wa kuita majina yao kila sehemu nao uangaliwe..na waite hata Tanzania complex au kodi zetu complex
Mwenye WAZO ndiye wa thamaniKati ya aliyeiota, aliyeisimulia na aliyeifanyia kazi ikatimia, ni nani wa thamani kwako?
umeshakariri kila mtu hana pesa isipokuwa wewe!Mbona hukupinga Ujenzi wake
Leo hii kinawekwa Bustani na Njia Yakuruka Ndege Unapiga kelele.
Acheni Nongwa.Tafuta Pesa
Ujue hana watoto kwa hiyo shule sio kipaumbele chake, hivi wewe unadhani shule ndio kapaumbele kwa kila mtu. Sasa kama hiyo gari ndio chanzo cha kuleta mapato. Halafu haya mambo ya kujiita maskini mtakuwa maskini kweli nchi sio masikini wala haitakuwa masikini kama hoja yako tunakopa hivi unajuwa USA nchi tajiri duniani na imekopa zaidi ya 100% ya GDP na hivi sasa wanazozana huko kutoongeza kiwango cha juu cha kukopa ikifika June wasipokubaliana basi itabidi wa default mikopo yao na kuwavunjia heshima watashindwa kulipa hata mishahara ni kama mtu ku fail kulipa mkopo wake bank, na hii ni USA huko ndio nataka kuondoa huu ujinga wa kujiita sisi masikini sisi sio masikini na muache tabia ya kuita watoto zenu majuto na watajuta kweli..🤣Ukimkuta masikini ananua gari la kutembelea halafu baadaye kidogo anakopa pesa ya kulipia watoto wake shule na kuwapelekea hospitali utamfikiriaje??
Unataka kujuwa vipaumbele vyangu? nchi ina wizara na hizi wizara ndio vipaumbele vya nchi ndio maana wako bungeni wanagawa cake kwa hizi wizara na wote wanapata na kila kitu unachoona kinafanyika kimetengewa pesa sasa maoni yangu binafsi sio muhimu hapa. Kitu nataka mfute kila pesa ikitengewa sehemu nyingine mnaruka hii sijui ingejenga madarasa mangapi kwani kipaumbele madarasa au mfumo wa elimu yetu?Wewe na ndugu zako walio masikini mngependa vipaumbele vyenu katika nchi viwe vipi?
Neno wazo umetoa wapi hapo?Mwenye WAZO ndiye wa thamani
Unajua kusoma kweli, mkuu?Mbona hukupinga Ujenzi wake
Leo hii kinawekwa Bustani na Njia Yakuruka Ndege Unapiga kelele.
Acheni Nongwa.Tafuta Pesa
Aiseee kumbe we naye huna akili
Acha wivu, hilo eneo kubwa unataka wafuge tu fisiJe, kuna ulazima wa yafuatayo au ni kupoteza pesa za walipa kodi?
NB: Kama wanatimiliza Ndoto ya Nyerere kwanini Complex isiitwe Nyerere Complex au iitwe aliyeanzisha Ujenzi Magufuli Complex. Kwanini iitwe Samia Complex?
- Kujenga Njia ya Kuruka Ndege Ikulu.
- Ujenzi wa Viwanja vya Golf.
- Ujenzi wa Complex ya watu 2000-3000
Je, Watanzania tuna kodi kiasi hicho kujenga Ikulu ya namna hiyo? Kuna ulazima gani?
Je, nani mnufaika wa hayo yote?
Kwanini hizo pesa zisiende kwenye elimu ya awali na msingi maana huko ndo chanzo cha madudu ya huku juu?
Watakapokuwa wanatembelea Ikulu Makatibu kata wote Tanzania unataka wakae wapi?Tatizo Afrika sio pesa, pesa ipo ila vipaumnele. Hapo wakikwambia zinahitajika pesa kwa ajili ya mashine za kusaifisha damu kwa wagonjwa wa figo ziwekwe kila hospitali ili gharama zishuke waweze kuafford watakujibu budget haitoshi.
Complex ya watu 2000 ikulu ya kazi gani?
Wewe ulitaka iitwe nani Complex?Usiposema samia complex utahalishaje upigaji wa fedha? Yaani hapo upigaji umehalishwa. Ni mwendo wa kula tu.
Huyu mama kwakweli anawaangusha sana wanawake wenzie kiuongozi.