wambura marwa
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 2,173
- 1,127
Kwahiyo bajeti itakamilika? Ya miaka kama mitano eti eeh?Tumeshajua nani analinda mafisadi....Asante Tundu Lissu
Kwahiyo bajeti itakamilika? Ya miaka kama mitano eti eeh?Tumeshajua nani analinda mafisadi....Asante Tundu Lissu
akili zitawajia baada ya miaka ishiriniHivi ile mikataba ya gesi iliopitishwa kwa hati ya dharula JPM alikuwa wapi?
Lissu alikuwa anapaliliia ili wamuuzie kesi wamlipe. Aibu yake. Wakili Mwanasheria UCHWARASasa si Lisu alisema tutashtakiwa?
Mimi sio mpinzani ila sipendi pia kudanganywa.. Hivi Braza utajiri wote wa Barrick ni kiasi gani? Nani wa kukulipa zaidi ya dola billion 120? Hizo hela zinatolewa kwenye mzunguko na Mmarekani kirahisi hivyo? athari zake kiuchumi inakuaje?Povu la nini?
Kuwa mpinzani sio lazima kuwa mjinga kama wewe!
Style up dogo!!
safi sana ila hizo aya 2 za mwisho kaharibu kabisa,
inawezekana kweli aisee nimetizama kwa jicho la 3Hata mm mkuu siamini au ni changa la macho..??
Tutaona kama kuna atakaeshitakiwa kati ya waliotajwa.Mkubwa kitu kimeshaisha Lisu Vitpi tena ataendelea
Duh kazi ipo!Sasa kusema watalipa na wanataka mazungumzo in vtu viwl tofaut.
Mm nafkr wangelipa kwnza then tune kuzungumzaa baadae.
Ningekua mshauri WA rais ningeomba uyo mkuu alojileta akamatwe awekwe kizuizin mpka ela ilipwe
Alikuwa CCM alikuwa anaitikia ndiyooooHivi ile mikataba ya gesi iliopitishwa kwa hati ya dharula JPM alikuwa wapi?
Hata nusu tu walau itatusukuma kuliko 0. Kwenye 200tr ukipewa hata 50-100tr una hasara gani?Watarudisha hela zote zile???