Imetokea la kutokea hakuna namna mkuu.Mbinu yeyote kinyume cha hapo ni ''TREASON''.Tunaongozwa na Mwanamke?
Wa Kenya si tumewapa la kuongea hapa!
Inategema ataongozaje; wakati wa utawala wa Golda Meir pale Israel, maadui wa israel walipata muziki sanaTunaongozwa na Mwanamke?
Wa Kenya si tumewapa la kuongea hapa!
Kiongozi mzuri sana huyu kama Magufuli.Kama naota vile, natumaini atakuwa kiongozi mzuri.
Watamharibu mapema sana akina NdugaiShida wapambe walaji,watamwambia unafaa sana hakuna mwingine atakaetuvusha.
Amepikwa na JPM anaweza kuwa ni mara mbili zaidi ngoja tuoneKama naota vile, natumaini atakuwa kiongozi mzuri.
Wewe baki huko huko kwa Halima James Mdee!Wanafiki sasa mnahamia upande huu kupiga mapambio ya kusifu kama kawaida yenu.
Vipi nyie hamtabadili nyimbo?Naona Mataga mnaenda kubadili mapambio sasa.
I miss u.Madam President Samia Suluhu Hassan
Nipo denooJI miss u.