Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Kumekuwa na mtazamo na tetesi yakwamba huenda uchaguzi mkuu 2015 ukasogezwa mbele kupisha ujio wa Katiba MPYA,
Lakini ndani ya vyama vya siasa ambavyo kwa Tanzania ni viwili tu, (vingine ni matawi ya ccm) kumekuwa na mitazamo tofauti pia,
Baadhi ya Wanachadema wanasema utakinufaisha chama chao, na wengine wanasema utakidhoofisha, hivyo bado kuna mkanganyiko,
Vivyo hivyo baadhi ya Wanaccm wanasema sasa chama chao ndio kitakufa rasmi, kwa baadhi ya nilioonana nao nakuzungumza nao wanalaani sana kitendo cha serikali kufikiria kuahirisha uchaguzi huo,
Lakini kinyume baadhi ya wanaccm wamepokea tetesi za kuahirisha uchaguzi kwa furaha sana,
Wanajamvi naomba tuliangalie na kulichambua kichama zaidi sio kitafa!
Lakini ndani ya vyama vya siasa ambavyo kwa Tanzania ni viwili tu, (vingine ni matawi ya ccm) kumekuwa na mitazamo tofauti pia,
Baadhi ya Wanachadema wanasema utakinufaisha chama chao, na wengine wanasema utakidhoofisha, hivyo bado kuna mkanganyiko,
Vivyo hivyo baadhi ya Wanaccm wanasema sasa chama chao ndio kitakufa rasmi, kwa baadhi ya nilioonana nao nakuzungumza nao wanalaani sana kitendo cha serikali kufikiria kuahirisha uchaguzi huo,
Lakini kinyume baadhi ya wanaccm wamepokea tetesi za kuahirisha uchaguzi kwa furaha sana,
Wanajamvi naomba tuliangalie na kulichambua kichama zaidi sio kitafa!