Ikiwa huna mtoto ni Nani atakuuguza siku ukiwa hoi?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,584
44,829
Kwasasa tunatembea barabarani ila ndani ya miili ni wabovu usije kumpiga mtu hata kwenzi la kichwa utaishia jela ndugu yangu watu tumeoza maradhi kama yote kutilia ndani saratani,ukimwi na BP.

Ni muhimu tujiulize hasa kundi la vijana la kataa ndoa,team chaputa,UWABATA for life na wale wa kutoa mimba je siku umelazwa umri umeenda huna mtoto kimakusudi ni nani atakusaidia hospital kwa maana kama familia yenu nayo hamna mahusiano mazuri Nduguzo watakuja kukuona ila hawataweza kukaa na wewe kwa zaidi ya mwezi.

Kukaa na mgonjwa kunahitajika confidentiality na truth so awe mtu wa karibu kweli kweli sio mtu Baki na sasa mwanao angeweza kuchukua nafasi hiyo akakufulia nguo,kukuvalisha e.t.c

Hivyo nitoe wito kwa makundi tajwa hapo juu tuubebe tu wajibu kuna faida zaidi kupata mtoto mapema kuliko hasara hivyo tuzaliane Mwali asiyekuzalia kimakusudi Piga chini.
 
Kuzaa ni Majaaliwa yake Mola, wapo waliobahatika kuzaa japo watoto wawili ama watatu lakini asitokee hata mmoja wa kumsaidia katika Uzee wao.

Vivyo hivyo wapo wengine waliobahatika kuzaa lakini bahati mbaya Mungu aliwachukua mapema watoto wao hivyo wakabaki wapweke katika Uzee wao.

Maandiko yanasema "Alaaniwe yule amtegemeaye Mwanadamu"
 
Ulikuja peke yako duniani,utapambana peke yako na utakufa peke yako,sijawahi kuwaza namna gani watoto wangu watanisaidia kwa maisha ya baadae,na sipaswi kuwaza kuwa nitawategemea kwa maisha yangu ya badae,kwani waliniomba niwazae!? .


Pesa ndo kila kitu,kuna baba yangu mdogo alikuwa ni mwalimu kasitaafu maisha yakawa magumu hakuna mtoto anayemtunza ,anaishi kwa jimama,jimama linamhudumia kwa kuwa anakipesheni chake,bila hivyo angeshafukuzwa.


Acha kuwaza kuwa kuna siku siku watoto wako watakufaa,ila waza kipi utafanya katika nyakati zako ngumu!?
 
Kwasasa tunatembea barabarani ila ndani ya miili ni wabovu usije kumpiga mtu hata kwenzi la kichwa utaishia jela ndugu yangu watu tumeoza maradhi kama yote kutilia ndani saratani,ukimwi na BP.

Ni muhimu tujiulize hasa kundi la vijana la kataa ndoa,team chaputa,UWABATA for life na wale wa kutoa mimba je siku umelazwa umri umeenda huna mtoto kimakusudi ni nani atakusaidia hospital kwa maana kama familia yenu nayo hamna mahusiano mazuri Nduguzo watakuja kukuona ila hawataweza kukaa na wewe kwa zaidi ya mwezi.

Kukaa na mgonjwa kunahitajika confidentiality na truth so awe mtu wa karibu kweli kweli sio mtu Baki na sasa mwanao angeweza kuchukua nafasi hiyo akakufulia nguo,kukuvalisha e.t.c

Hivyo nitoe wito kwa makundi tajwa hapo juu tuubebe tu wajibu kuna faida zaidi kupata mtoto mapema kuliko hasara hivyo tuzaliane Mwali asiyekuzalia kimakusudi Piga chini.
Na unaweza ukawa na watoto na wakakukimbia wakati unaumwa. Mtu baki akasaidia kukuuguza.

Angalia yule Actor wa Nigeria, madogo wamekula docho na pesa za michango ya ugonjwa wa Mshua wao.
 
Me nawaona wazazi wengi tu wana watoto 3-5 wanaojitegemea ila bado hamna mwenye uwezo wa kumuhudumia akiumwa, Cha muhimu sio kuzaa zaa hovyo bali weka mikakati ya kumsimamia mtoto hadi afikie uwezo wa kujisimamia mwenyewe kimaisha hapo ndipo uweke matumaini ya return back, Sio unazaa tu mtoto 17yrs ushamtelekezea mtaani ajitafute alafu utegemee umeumwa alafu wawe na uwezo wa kusimamia matibabu, Utakuwa hujitambui.
 
Kwasasa tunatembea barabarani ila ndani ya miili ni wabovu usije kumpiga mtu hata kwenzi la kichwa utaishia jela ndugu yangu watu tumeoza maradhi kama yote kutilia ndani saratani,ukimwi na BP.

Ni muhimu tujiulize hasa kundi la vijana la kataa ndoa,team chaputa,UWABATA for life na wale wa kutoa mimba je siku umelazwa umri umeenda huna mtoto kimakusudi ni nani atakusaidia hospital kwa maana kama familia yenu nayo hamna mahusiano mazuri Nduguzo watakuja kukuona ila hawataweza kukaa na wewe kwa zaidi ya mwezi.

Kukaa na mgonjwa kunahitajika confidentiality na truth so awe mtu wa karibu kweli kweli sio mtu Baki na sasa mwanao angeweza kuchukua nafasi hiyo akakufulia nguo,kukuvalisha e.t.c

Hivyo nitoe wito kwa makundi tajwa hapo juu tuubebe tu wajibu kuna faida zaidi kupata mtoto mapema kuliko hasara hivyo tuzaliane Mwali asiyekuzalia kimakusudi Piga chini.
sasa hutaki kufa unataka kuuguzwa....na kusumbua watu ref kesiyya mchekeshaji mr. ibuu wa naigeria watoto wamepita na michango ya matibabu...we unasema kuuguzwa..watoto wenyewe wanatupiana mpira kuishi na mzee ambaye haya haumwi...jipange
 
Kila mtu ana vipaombele vyake maishani,mwingine kuwa na watoto ndio vipaumbele vyake,wengine kujenga nyumba nzuri ndio kipaumbele kwake,hayo masuala ya kuugua na kufariki,yanampata Kila mmoja wetu,hivyo hakuna sababu ya kuogopa jambo ambalo lipo na litaendelea kuwepo.
 
Back
Top Bottom