Wala hatuchekani dia,mie nitakuwa job nikitoka ndio nitajua wapi niende,nitakustua km utakuwa hujapata mwaliko nikupitie lol!Ningependa kila m2 aseme atakua wapi kesho.
Mimi sijapanga pakwenda. nasubiri kualikwa.
wewe utakua wapi weekend hii?
Mimi nitakuwa club karibu....
Mi nitakua na washkaji kuweka sawa mchakato mzima wa kuitwa " MUME "
mmh!! Mnataka niadhirike?? Pale si panawafaa nyie mabinti... Kumbukeni mie mtu mzima wapenzi....
j,mosi nitakuwa cineclub na watoto, j.pi;i kanisani then kupumzika
Safi sana
mimi nitakuwa kwa ofc tuu nafanya kazi