Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,817
- 4,566
RASMI Ihefu SC imehamia mkoani Singida baada ya kuuchagua uwanja wa CCM Liti kama uwanja wao wa nyumbani kwa msimu mzima.
Leo watendaji wote wa timu za ligi kuu wametumiwa taarifa rasmi ya kuwa michezo yote ya nyumbani ya Ihefu SC itachezwa CCM Liti, Singida.
Nini kimejificha kwenye sakata la Singida na Ihefu? Mbona kama siasa mchezoni hizi?
Leo watendaji wote wa timu za ligi kuu wametumiwa taarifa rasmi ya kuwa michezo yote ya nyumbani ya Ihefu SC itachezwa CCM Liti, Singida.
Nini kimejificha kwenye sakata la Singida na Ihefu? Mbona kama siasa mchezoni hizi?