Igunga wagombea kadi na bendera za CUF

woyowoyo

Senior Member
Jul 24, 2011
173
12
Wananchi na wakazi wa igunga wamenunua kadi za cuf kwa wingi toka ujumbe ulipoondoka mkoani Dar es salaam kwenda jimboni humo kwa shughuli za kichama huku wakizunguka katika kata zote na vijiji wanainchi wamechukua bendera na kuzindua matawi mapya pamoja na kuongeza wanachama wapya, hii imepelekea kuagizwa kwa bendera na kadi zingine kutoka ofisi kuu Dar es salaam, hii kwajili ya kujiandaa na mtanange wa uchaguzi mdogo utakaofanyika ndani ya miezi 3 kuanzia sasa.
 
wanainchi na wakazi wa igunga wamenunua kadi za cuf kwa wingi toka ujumbe ulipoondoka mkoani Dar es salaam kwenda jimboni humo kwa shughuli za kichama huku wakizunguka katika kata zote na vijiji wanainchi wamechukua bendera na kuzindua matawi mapya pamoja na kuongeza wanachama wapya, hii imepelekea kuagizwa kwa bendera na kadi zingine kutoka ofisi kuu Dar es salaam, hii kwajili ya kujiandaa na mtanange wa uchaguzi mdogo utakaofanyika ndani ya miezi 3 kuanzia sasa.

Naona CCM B wamekutuma kuja kupima upepo hapa JF ili kukatisha tamaa wapiganaji na hatimaye jimbo lirudi mikonono mwa CCM.Mbona hujiulizi kama CUF ni maarufu Igunga mbona haina hata diwani ilihali walikuwa na mgombea ubunge mwaka jana? Chadema haikuwa na mgombea ubunge lakini ilivuna madiwani.A smallest calculation.
 
Naona CCM B wamekutuma kuja kupima upepo hapa JF ili kukatisha tamaa wapiganaji na hatimaye jimbo lirudi mikonono mwa CCM.Mbona hujiulizi kama CUF ni maarufu Igunga mbona haina hata diwani ilihali walikuwa na mgombea ubunge mwaka jana? Chadema haikuwa na mgombea ubunge lakini ilivuna madiwani.A smallest calculation.
<br />
<br />
jamani kama unadata za kutosha embu tupatie waliogombea ubunge igunga na vyama vyao inatia moyo kusikia cdm ilipata diwan japo awakuwa na mgombea ubunge
 
Igunga tunavyosikia cuf ina wafuasi wengi mno,ngoja mtanange uanze itajulikana mbivu na mbichi,tusiandikie mate.........
 
wanainchi na wakazi wa igunga wamenunua kadi za cuf kwa wingi toka ujumbe ulipoondoka mkoani Dar es salaam kwenda jimboni humo kwa shughuli za kichama huku wakizunguka katika kata zote na vijiji wanainchi wamechukua bendera na kuzindua matawi mapya pamoja na kuongeza wanachama wapya, hii imepelekea kuagizwa kwa bendera na kadi zingine kutoka ofisi kuu Dar es salaam, hii kwajili ya kujiandaa na mtanange wa uchaguzi mdogo utakaofanyika ndani ya miezi 3 kuanzia sasa.
Source???
 
Tomato au Chili?
Unapo edit post za wenzako unaona ume win kumbe tunakuona chizi fulani.....kwa leo nakusamehe ni makosa ku edit post ya member mwingine nyambaf.

Kwanza huwa haiitwi tomato souce ni tomato sauce
 
wanainchi na wakazi wa igunga wamenunua kadi za cuf kwa wingi toka ujumbe ulipoondoka mkoani Dar es salaam kwenda jimboni humo kwa shughuli za kichama huku wakizunguka katika kata zote na vijiji wanainchi wamechukua bendera na kuzindua matawi mapya pamoja na kuongeza wanachama wapya, hii imepelekea kuagizwa kwa bendera na kadi zingine kutoka ofisi kuu Dar es salaam, hii kwajili ya kujiandaa na mtanange wa uchaguzi mdogo utakaofanyika ndani ya miezi 3 kuanzia sasa.

Du! na kata ya bulumbela wamefika?
 
Hakuna wivu 2nahitaji watu wenye ukombozi wa ukweli na cyo kudanganywa na madaraka
cuf walikuwa ni watu wazuri kweli lakini ndoto yao imeyeyuka kutokana na ccm ideology
 
wanainchi na wakazi wa igunga wamenunua kadi za cuf kwa wingi toka ujumbe ulipoondoka mkoani Dar es salaam kwenda jimboni humo kwa shughuli za kichama huku wakizunguka katika kata zote na vijiji wanainchi wamechukua bendera na kuzindua matawi mapya pamoja na kuongeza wanachama wapya, hii imepelekea kuagizwa kwa bendera na kadi zingine kutoka ofisi kuu Dar es salaam, hii kwajili ya kujiandaa na mtanange wa uchaguzi mdogo utakaofanyika ndani ya miezi 3 kuanzia sasa.

Wamelogwa hao,si juzi tu walikuwa wanamlilia RA
 
Back
Top Bottom