ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,114
- 49,840
Naona watu wanataka watumie hii kama njia ya kuitikisa na kuiyumbisha Serikali na Viongozi wake Kwa maslahi binafsi.
Nawakumbusha tuu Serikali haiwezi Kutikishwa na wapuuzi wachache ambao wanataka kuachiwa wavunje sheria kisa Wana Kasi za ccm hivyo eti wataenda kuzorudisha.
Nawakumbusha tuu kwamba wao sio wa kwanza walianza kina Lowasa, Membe, Sumaye nk ila tena baada ya kukuta huko Kwa matapeli hakuna maisha wakatidi tena ccm 😁😁
Mwisho waulizwe wazee wa DP World wameishia wapi?
===
WAZEE SOKO LA MABIBO WAMJIBU RC CHALAMILA, WAMTAKA ATENGUE KAULI ZAKE, WATISHIA KURUDISHA KADI CCM
Wazee hao wamedai kuwa kile alichokiongea Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Albert chalamila kuwa anatakiwa kutengua kauli yake dhidi wa wafanyabiashara hao wa soko kuu la mabibo.
Nawakumbusha tuu Serikali haiwezi Kutikishwa na wapuuzi wachache ambao wanataka kuachiwa wavunje sheria kisa Wana Kasi za ccm hivyo eti wataenda kuzorudisha.
Nawakumbusha tuu kwamba wao sio wa kwanza walianza kina Lowasa, Membe, Sumaye nk ila tena baada ya kukuta huko Kwa matapeli hakuna maisha wakatidi tena ccm 😁😁
Mwisho waulizwe wazee wa DP World wameishia wapi?
===
WAZEE SOKO LA MABIBO WAMJIBU RC CHALAMILA, WAMTAKA ATENGUE KAULI ZAKE, WATISHIA KURUDISHA KADI CCM
Wazee hao wamedai kuwa kile alichokiongea Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Albert chalamila kuwa anatakiwa kutengua kauli yake dhidi wa wafanyabiashara hao wa soko kuu la mabibo.