Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
"Kwa upende wake, Mratibu wa Kampeni wa CCM ambaye pia ni Katibu wa Fedha na Uchumi, Bw. Mwigulu Nchemba aliwataka wananchi kutokuchagua wapinzani kwa sababu hawana serikali".
Kumbe usipokuwa na serikali hupaswi kuchaguliwa?Sasa tunashirikisha vyama vya upinzani kwenye chaguzi kwa sababu zipi?
wanatumia makalio kufikiri!