Butho Mtenzi
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 331
- 22
Haya siye yetu macho tuone mwisho wa siku mambo yanaendaje
Pole kwa Saumu sheikh ubwabwa.Waachieni wana Igunga wenyewe wachague yule wampendae ambae wataona ataweza kuwawakilisha kwa kupeleka vilio vyao bungeni na kuleta maendeleo bora kwa jimbo hilo.
Watu wa Igunga tumieni busara zenu kupata kiongozi wenu Bora
Si laima iwe kwao, sisi ni wa Tz Bwana. Kama watu wangeangalia kabila na mahali anapotoka mtu Chambiri mkurya asingechaguliwa Babati
Majimbo ya Kisesa na Igunga yako Wilaya moja? Nataka tuu kufahamu Erasto Tumbo kama kwao ni Igunga
Hapana hayapingani, Slaa alisema tuiache Igunga kwa wana Igunga walipochangua mtu wa Iran hatukuwaingilia hata sasa wakichagua Mzungu au Mdengereko ni wao wamechagua.Majibu haya yanapingana na ya Slaa alipojibu maswali hapa Jf j2 fulani zilizopita, kwani alikiri na kusema Igunga inahitaji mwana Igunga anayejua matatizo ya pale siyo kwa kuhadithiwa. sasa unapompeleka mtu mwa kisesa igunga hiyo ni dhahiri kuwa ni tamaa ya madaraka na sio uwakilishi, kwani unataka uniambie wilaya nzima hawana muwakilishi mpaka cdm mumpeleke mtu wa mbali? kwahilo mngekiri kuchemka. hapo upinzani itakuwa baina ya Amina said Fundikira na Lucas Mahona na hapo magamba watafanya kila mbinu Naye Mzee fundikira apate mlith serikalini
<br />Any but he or she should be came from CDM. Au mnasemaje wazee?
Waliochukua fomu hadi sasa ni
CHADEMA
1. Gideon Kwandu
2. Anwari Luhumbiza Kashaga
3. Erasto Tumbo, ambaye aliwahi kuwa Mbunge wa Kisesa, wilayani Meatu, kwa tiketi ya UDP
CCM
1. Amina Said Fundikira
2. Shamshu Ibrahim
3. Adam Kamange
4. Ngasa George.
CUF
1. Lucas Mahona aliwahi kuwania ubunge na kushindwa na Rostam kwenye uchaguzi uliopita.