kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Sina ubishi na kilichoandikwa jana nilipost thread iliyoelezea mambo yote kuhusu Magufuli na majibu aliyotoa Magufuli huyu alietowa mada hii hayupo sahihi sana na isitoshe yupo mbali na tukio lilipo ndo maana ameshindwa kujua hata kesi inafanyika mahakama ipi, mi nafikiri we ndo unaleta longo longo jaribu kila siku kupita humu JF ili uwe updated huyu aliyeleta huu uzi kama jana angekuwa kapita humu leo angetulia Coz kila kitu kinaeleweka tangu jana.Mkuu Acha ubishi suala ni kwamba Magufuli alikataa kwenda kutoa ushaidi wakati kahusishwa kwenye mashtaka Jikite kwenye hoja acha longo longo