CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Walaka huu ukuendee ewe"IGP MWEMA"kisha uingiwe na moyo wa huruma.
Mh IGP hivi karibuni nilitembelea mkoa wa morogoro ktk shughuri zangu binafsi.
Nikiwa morogoro nilitembelea maeneo ya mtibwa,dumila,mzumbe,mgeta,matombo,bunduki,vinile,chenzema,kisaki na kisha nikamalizia ziara yangu pale maeneo ya Mlali wilaya ya MVOMERO.
Kilichonishangaza ni mashamba ya bangi kule maeneo ya(Bunduki na vinile)ambapo imepelekea vijana wengi kuona bangi ndio sigara yao hasa maeneo ya Mlali,sasa kwa pale Mlali tu vijana takribani 70% hivi maeneo hayo wameathilika na uvutaji wa bangi na unywaji wa pombe za kienyeji huku wakiwa wameifanya kamari kama ndio shughuri yao ya kupatia riziki ya kila siku.
Kamari inachezwa eneo hilo mpaka usiku wa manane, sasa sijui wale askari wako wa mgeta na mzumbe wanafanya kazi gani mh IGP,na 10% nyingine ya vijana ni vijana wanaojishugulisha na biashara ya kuendesha piki piki maarufu kama boda boda,cha kushangaza zaidi ni kwamba ktk waendesha bodaboda hao ni takribani 05% ndio wenye driving licence the rest of 95% hawana licence,hii ni hatari kubwa kwa nchi yetu mh IGP MWEMA,na 20% ya vijana ndio pekee wanaojishugulisha na kilimo.
Ktk mahojiano yangu na baadhi ya vijana hao wakulima nao pia wana ndoto ya kumiliki piki piki ili waachane na tabu ya kulima.
Mbaya zaidi nimeshuhudia watoto wengi wa kike wenye umri kati ya miaka 12-16 wakiwa na watoto pia.......gosh..inauma sana kamanda kuona watoto wako wanasoma vizuri wakati watoto wa vijijini wanapigwa mimba na kuvuta bangi kwa uzembe wa kiutendaji wa jeshi lako mkuu lol!
Ninamachungu sana kiasi kwamba kama tungekua tunaongea uso kwa uso nadhani kesho ningepandishwa kizimbani kwa shambulio la makusudi kha!
Lengo la kukuandikia walaka huu ndg mh IGP ni kukuomba ufatilie ili kulinusuru taifa la kesho,maana ukizembea basis jua kwamba miaka 10 ijayo hakutakua na nguvu kazi eneo hilo maana sasa hawaogopi hata kuvuta bangi hadhalani na pia wametumbukia tkt dibwi la ulevi uliopindukia wa pombe za kienyeji(GONGO NA MTAMA).
Niko tayari kutoa msaada wa hali na mali kama kuna ntakachoweza kukusaidia mh " IGP MWEMA"
Mh naomba kuwakilisha.
Mh IGP hivi karibuni nilitembelea mkoa wa morogoro ktk shughuri zangu binafsi.
Nikiwa morogoro nilitembelea maeneo ya mtibwa,dumila,mzumbe,mgeta,matombo,bunduki,vinile,chenzema,kisaki na kisha nikamalizia ziara yangu pale maeneo ya Mlali wilaya ya MVOMERO.
Kilichonishangaza ni mashamba ya bangi kule maeneo ya(Bunduki na vinile)ambapo imepelekea vijana wengi kuona bangi ndio sigara yao hasa maeneo ya Mlali,sasa kwa pale Mlali tu vijana takribani 70% hivi maeneo hayo wameathilika na uvutaji wa bangi na unywaji wa pombe za kienyeji huku wakiwa wameifanya kamari kama ndio shughuri yao ya kupatia riziki ya kila siku.
Kamari inachezwa eneo hilo mpaka usiku wa manane, sasa sijui wale askari wako wa mgeta na mzumbe wanafanya kazi gani mh IGP,na 10% nyingine ya vijana ni vijana wanaojishugulisha na biashara ya kuendesha piki piki maarufu kama boda boda,cha kushangaza zaidi ni kwamba ktk waendesha bodaboda hao ni takribani 05% ndio wenye driving licence the rest of 95% hawana licence,hii ni hatari kubwa kwa nchi yetu mh IGP MWEMA,na 20% ya vijana ndio pekee wanaojishugulisha na kilimo.
Ktk mahojiano yangu na baadhi ya vijana hao wakulima nao pia wana ndoto ya kumiliki piki piki ili waachane na tabu ya kulima.
Mbaya zaidi nimeshuhudia watoto wengi wa kike wenye umri kati ya miaka 12-16 wakiwa na watoto pia.......gosh..inauma sana kamanda kuona watoto wako wanasoma vizuri wakati watoto wa vijijini wanapigwa mimba na kuvuta bangi kwa uzembe wa kiutendaji wa jeshi lako mkuu lol!
Ninamachungu sana kiasi kwamba kama tungekua tunaongea uso kwa uso nadhani kesho ningepandishwa kizimbani kwa shambulio la makusudi kha!
Lengo la kukuandikia walaka huu ndg mh IGP ni kukuomba ufatilie ili kulinusuru taifa la kesho,maana ukizembea basis jua kwamba miaka 10 ijayo hakutakua na nguvu kazi eneo hilo maana sasa hawaogopi hata kuvuta bangi hadhalani na pia wametumbukia tkt dibwi la ulevi uliopindukia wa pombe za kienyeji(GONGO NA MTAMA).
Niko tayari kutoa msaada wa hali na mali kama kuna ntakachoweza kukusaidia mh " IGP MWEMA"
Mh naomba kuwakilisha.