Ifikapo january 2012 tuigome na kuandamana kuhusu mgao na tanesco

Oct 9, 2010
54
6
Kutokana na suala la mgao wa umeme, tanesco na mawaziri wamekuwa wakisema utaisha mwezi wa kumi na mbili, nawashauri watanzania wenzangu ili kuonyesha hii serikali tumechoka na ahadi horera na wasizokuwa na uhakika nazo. mgao ukiwa haujaisha watanzania tugome na kuandamana kuonyesha kuwa mgao unaturudisha nyuma kimaendeleo na kiutendaji kazi kwa vyombo na ofisi zinazotumia umeme muda mwingi. Naomba kuwasilisha mungu ibariki tanzania, mungu wabariki waiombea mema nchi hii kwa vitendo siyo maneno.
 
Kutokana na suala la mgao wa umeme, tanesco na mawaziri wamekuwa wakisema utaisha mwezi wa kumi na mbili, nawashauri watanzania wenzangu ili kuonyesha hii serikali tumechoka na ahadi horera na wasizokuwa na uhakika nazo. mgao ukiwa haujaisha watanzania tugome na kuandamana kuonyesha kuwa mgao unaturudisha nyuma kimaendeleo na kiutendaji kazi kwa vyombo na ofisi zinazotumia umeme muda mwingi. Naomba kuwasilisha mungu ibariki tanzania, mungu wabariki waiombea mema nchi hii kwa vitendo siyo maneno.

Nadhani utaandamana wewe na familia yako. Magwanda wenzako siku hizi wamechoka kutumikishwa kwa maandamano kisha picha zao kupelekwa Ujerumani kuombea misaada.
 
Nadhani utaandamana wewe na familia yako. Magwanda wenzako siku hizi wamechoka kutumikishwa kwa maandamano kisha picha zao kupelekwa Ujerumani kuombea misaada.

ur so pathetic gu-ay! We unaona sawa kwa watu kuendelea kuishi ktk dimbwi la mgao? Unajua ni biashara ngapi zimekufa, watu wangapi wamekosa kazi, uchumi umedorora kwa kiasi gani na maisha yamepanda kwa kiasi gani mpaka uamue kumkebehi m2 alietoa dukuduku lake kuhusu huo umeme? Au kwa vile unaishi kifisadi haujui kutoil? Mungu akuangamize wewe na hao wote unaowatumikia, wasiokuwa na uchungu na watanzania. Ufe kifo cha ghafla sheitwan khum....! Huwa unakera kweli ila ukiendeleza bezo zako KWELI UTAKUFA GHAFLA!
 
Back
Top Bottom