<br />Hata sina mpango na simu ya mume wangu, wala hana mpango na yangu pia, kuna wakati tunashare gari kwenda ofisini nasahau simu yangu kwenye gari yake namwambia tu aweke call forwarding kwa my direct line<br />
<br />
Na yeye ni mara chungu mbovu anasahau simu pia home au kwenye gari mimi ninachofanya ninaizima unless kama aniambie anaexpect call ya maana<br />
<br />
Kuna wakati nililazwa na mtoto na simu yangu ilikuwa haina charge akaniachia yake hospital over the weekend na wala sikuiscroll kucheki emails maana najua ni personal, na yeye huku nyuma alicharge yangu akaniletea <br />
<br />
Kimsingi kama mnaaminiana mambo madogo kama simu hayawapi shida...ss hv najibu JF si tuko kitandani hata akifungua macho haimpi shida!
Hata sina mpango na simu ya mume wangu, wala hana mpango na yangu pia, kuna wakati tunashare gari kwenda ofisini nasahau simu yangu kwenye gari yake namwambia tu aweke call forwarding kwa my direct line
Na yeye ni mara chungu mbovu anasahau simu pia home au kwenye gari mimi ninachofanya ninaizima unless kama aniambie anaexpect call ya maana
Kuna wakati nililazwa na mtoto na simu yangu ilikuwa haina charge akaniachia yake hospital over the weekend na wala sikuiscroll kucheki emails maana najua ni personal, na yeye huku nyuma alicharge yangu akaniletea
Kimsingi kama mnaaminiana mambo madogo kama simu hayawapi shida...ss hv najibu JF si tuko kitandani hata akifungua macho haimpi shida!
<br />That means you have nothing to hide, at least not in your phone. When you have nothing to hide you will always feel at ease with each other. Feeling at ease around each other builds trust. <br />
<br />
Contrarily, if you are doing inapproprite things it is a no brainer to feel ill at ease to leave your phone around him. This is not complicated. It is as simple as A,B,C, and D.
Akiwa bado hajakuchoka ataongea nao kwa kujificha, sio?
Sa ukipekua simu yake ndo utazuia asifanye cheatin?yes <br />
ataongea kwa kujificha<br />
lakin issue ni pale plae ninini icho chja kuongelea kwa kujificha?<br />
anayekupend akweli atakuchit afu achukue jitiada za kuongelea kwa kujificha?<br />
yote meusi tu.
<br />Kuna wanaume wanaplan mambo yao mpaka unashangaaa, anaweza kuwa anacheat na mkewe anajua hivo na simu yake yuko nayo free hata kukuachia na isiite na akijifanya anacheki hakuti msg hata moja mbaya, kuna dada mmoja mumewe ana nyumba ndogo kabisa na kazaa huko ila simu yake mkewe anaweza kaa nayo siku nzima na haambulii kitu