Simon Adebisi
JF-Expert Member
- Aug 7, 2018
- 1,139
- 2,152
Jamaa anajua sana kuigiza na ana muonekano fulani wa kisanii lakini sijui anafeligi wapi yani.
Nahisigi alikuwa na potential kubwa zaidi ya hapa alipofika since the wire HBO lakini sijui anabugigi kuchagua script au directors wa movie wanamfelisha??
Niko nacheki 'Luther the fallen sun' halafu naona naboreka tu yani movie matukio yamewekwa wekwa tu yaani sio sawa kabisa na ukubwa wa jina lake.
Jamaa alikuwa na potential ya kuwa kama Denzel hivi yani lakini sielewi shida sijui nini kwake
Nahisigi alikuwa na potential kubwa zaidi ya hapa alipofika since the wire HBO lakini sijui anabugigi kuchagua script au directors wa movie wanamfelisha??
Niko nacheki 'Luther the fallen sun' halafu naona naboreka tu yani movie matukio yamewekwa wekwa tu yaani sio sawa kabisa na ukubwa wa jina lake.
Jamaa alikuwa na potential ya kuwa kama Denzel hivi yani lakini sielewi shida sijui nini kwake