kwa kupitia website mbali mbali za kulinganisha simu n97 iliscore 56% na ideos 44% na factor zilikua kama ifuatavyo
zote zilikua anounced september 2009
camera
Camera ya n97 ni 5mp (2592x1944) na camera ya hio ideos ni 3mp (2048x1536) hapa n97 alionekana kashinda
speed (processor)
Speed ya ideos ni 528 mhz na ya n97 ni 434 mhz hapa mshindi ni ideos
mda wa kuongea
Ukiwa na ideos unaweza ongea masaa 4 ndo simu iishe charge ukiwa na nokia 97 utaongea masaa 7 ndo simu ishe charge, same standby time ideos ni masaa 220 wakati n97 ni masaa 320 n97 ameshinda
video na camera ya mbele
Kama unapenda camera ya mbele na video calling ideos haikufai maana haina nokia n97 inayo pia n97 ina vga cable (kuangalizia kwenye video)
ram
Ram ya ideos ni kubwa ni mara 2 ya n97, ideos 256 na n97 128, hapa ideos mshindi
network speed
Kwa gprs na edge n97 ni class 32 wakati ideos ni class 10 n97 yupo juu, ila kwa 3g hdspa ya ideos ni 7.2 mbps wakati n97 ni 3.2 so ideos nae yupo juu
ramani na gps hapa hata hamna haja ya kulinganisha nokia wapo juu (nokia yupo juu kwa simu zote kwa ramani)
keyboard ideos ni touchscree na n97 ni touch na ina qwerty keyboard n97 yupo juu
memory
Internal memory n97 ina 8gb wakati ideos ina 200mb so n97 yupo juu
pixel
screen ya n97 ni kubwa na ina resolution ya 360x640 pixels wakati ideos ni ndogo ina resolution ya 240x320
colors kama kawaida yao nokia hawakosei kwenye designing na colors n97 ina rangi 16.8 million wakati ideos ina rangi 262.1 thousand hii inamaanisha kama unaangalia video au image itaonekana clear kwenye n97 kuliko ideos
Pia designing n97 ina alternative nyingi za cover kuliko ideos (kava za nokia mpya rangi na chuma vinayeyushwa pamoja no scratch)
chief nimeona post zako nyng xana hapa JF ,na hii inanifanya nkuamini kwny swala zma la tech, xax ww unanshauri nchukue ip ?
Huawei amelenga soko la chini katika kiwango cha wanunuaji wa kati ndio maana simu zake anajaribu kuzipimp ili atleast hata wale wenzangu na mimi tusifiche simu tukiwaona wale wenzetu wenye high end phones kama sony ericson,HTC...
xo bro ideos ni kali kwa apps, mmh ?
Bei ya hiyo Nokia ni at least mara mbili ya hiyo Ideos au sio?
Hiyo Nokia inaishinda Ideos karibia kwa kila kitu kasoro Operating System na upatikanaji wa Apps na User Interface.
xo bro ideos ni kali kwa apps, mmh ?
Ideos inatumia Android OS 2.2 Android ina the second biggest amount of Apps katika OS za simu nyuma ya iOS(iPhone) na kwa rate za sasa itaipita iOS August mwaka huu, na nzuri zaidi kwa upande wa mteja Apps nyingi ni bure/Ad supported.
So ukiwa na Ideos utaweza kuinstall most apps zilizo hapa https://market.android.com/, most kwasababu Ideos ni budget device haina nguvu ya kusukuma baadhi ya hizo Apps hasa 3D games plus sio Apps zote zinatengenezwa ziwe compatible na kila version ya Android/screen size etc.
Dah kaka una hamu nayo sana chukua ideos kama simu iliyopita uliyoimiliki ni nokia ili ubadilishe ladha,
thanx ! nachukua ideos,ila mungu akujalie uwe hacks za kutosha ili na sis weny ideos 2endelee kufaid.. maana hapa na2mia moja ya hack zako za fr vod internt
N97 no Nokia takataka NA ideos pia ina issues ndio zote nshatumia hadi The best Nokia N8 azinaraha...na hiyo ideos nimatatizo matupu nakupa ukweli hapa ninayo nimeupgrade to 2.3.7 na 4 beta and alpha ..not all apps will work zile nzuri zinakua unavailable sema unaeza uzidownload na kuinstall through sdcard , battery life 5hrs with 3g on au ukiwampenda YouTube hata mawili , camera mbaya, kama ukotayari kuface matatizo chagua ideos au nakushauri HTC au Samsung