Mpevu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 1,805
- 173
Wanajamii,
Nafikiria kuwa na mwenza wa baadae kuitwa 'mamsap', lakini nashindwa kubaini ni namna gani ya kumtambua mjenzi wa kweli.
Maana dadaz yaani hata hujafikiria kwamba UNAMTAZAMIA...basi ameshaelekea kuolewa na wanapretend ile mbaaaaya.
NISAIDIENI ZILE AREAS to focus na ikiwezekana basi shortlisted ya maombi yatapokelewa.
Nafikiria kuwa na mwenza wa baadae kuitwa 'mamsap', lakini nashindwa kubaini ni namna gani ya kumtambua mjenzi wa kweli.
Maana dadaz yaani hata hujafikiria kwamba UNAMTAZAMIA...basi ameshaelekea kuolewa na wanapretend ile mbaaaaya.
NISAIDIENI ZILE AREAS to focus na ikiwezekana basi shortlisted ya maombi yatapokelewa.