Iddi Simba kuhamia CHADEMA

Status
Not open for further replies.
mbona cdm mnapenda kuzua uongo mlisema E L na wengine kibao wameomba kujiunga cdm, leo mmekuja na idd simba, uongo ni asili yenu, mnaendesha chama kwa uongo?
 
Baada ya kuwaudhi watu ndani ya CCM na wao kumuandalia mpango kabambe wa kumfilisi baada ya ile skendo ya UDA kuna tetesi zimeenea hapa mjini kuwa IDDI SIMBA yuko mbioni kuhamia CHADEMA

narudia hizi ni tetesi lakini kama mtu Iddi Simba leo akihamia CHADEMA naamini kuwa yale mashamba yooote yaliyopo ngara aliyowauzia wamarekani yatarudi mikononi mwa wa Tanganyika.

M4C for life!

Tumieni muda mwingi kurekebisha kasoro mlizonazo ndani ya chama chenu kuliko kupoteza muda kuleta tetesi zisizo na tija.
 
2ahxops.jpg

hapo m'kwere alikuwa anajipendekeza nini? Check walivyomzodoa!!!
 
Baada ya kuwaudhi watu ndani ya CCM na wao kumuandalia mpango kabambe wa kumfilisi baada ya ile skendo ya UDA kuna tetesi zimeenea hapa mjini kuwa IDDI SIMBA yuko mbioni kuhamia CHADEMA

narudia hizi ni tetesi lakini kama mtu Iddi Simba leo akihamia CHADEMA naamini kuwa yale mashamba yooote yaliyopo ngara aliyowauzia wamarekani yatarudi mikononi mwa wa Tanzania.

M4C for life!
.
images
 



Mtoto wa Kiume pekee wa IDD SIMBA ameoa kwa BOB MAKANI yule Daktari bingwa wa

Sickle Cell kwahiyo itakuwa kama waliongea vile Lakini IDD SIMBA Mmmm Ni

Mtoto wa SAIGON, Mikono yake imepita sehemu nyingi kweli ana Mali ndio lakini

Kazidodosa kivyake vyake; lakini alikuwa MALI anazo tangu hajaingia kwenye

siasa za CCM haulinganishi na kina Malecela, Mramba, Riz1, Yona, Mkapa, n.k

Not bad for asylum seeker from Burindi kuja Tanzania na kujiweka katikati ya utawala Tanzania

ukisikia hustler ndio huyo

sasa anauza na ardhi ya Tanzania bila wasi wasi
 
Baada ya kuwaudhi watu ndani ya CCM na wao kumuandalia mpango kabambe wa kumfilisi baada ya ile skendo ya UDA kuna tetesi zimeenea hapa mjini kuwa IDDI SIMBA yuko mbioni kuhamia CHADEMA

narudia hizi ni tetesi lakini kama mtu Iddi Simba leo akihamia CHADEMA naamini kuwa yale mashamba yooote yaliyopo ngara aliyowauzia wamarekani yatarudi mikononi mwa wa Tanzania.

M4C for life!

Naona mnafanya juhudi nyingi ku-divert attention ya mgomo wa madaktari + msitu pande na kuingiza matukio/mambo ya siasa. Nafikiri hili haliwezi kufanikiwa kwa sasa, serikali ijiandae tu kukabiliana na kashfa hii. Hata wasio na mpango wakuhama CCM wakihama, bado swala la Dr. Ulimboka na wenzake haliwezi kupita kama upepo.
 
huwezi kuacha utoto hata ukipewa ushauri wa kuacha?

Kama hupo makini hebu twambie kanisa kwenye hii mada liko wapi?
Naona ulivyo mwepei wa kukurupuka.....hebu punguza munkari na usome na kuelewa nn kimeandikwa. Hoja iliyopo ni Idd Simba kuhamia CDM. Wapo wanaoona hilo haliwezekani kwani yeye ni fisadi (au alikuwa). Nikahoji..... basi kwa maneno mengine kwa vile neno kanisa linakuudhi mno..... mharifu akiacha uharifu akaamua kumfuata Mungu, dini zimkatae? Kama akili yako haitaelewa na hili, basi sina jinsi.
 
.IDD SIMBA CHADEMA HAWEZI KUKUBALIWA KAMWEEEEEEEEEE



Nakataa, nakataa, nakataa japokuwa mimi ni kidampa tu CDM, lakini ninaamini kabisa Idd Simba akiomba kuhamia CDM atakataliwa kama vile mtu anayeumwa kichaa cha mbwa anavyoyakataa maji.

Ikumbukwe kwamba CCM imezalaurika mbele ya jamii kwa mtindo huo huo wa kukiuka maadili yake iliyojiwekea kwamba uadilifu ni moja ya vigezo vya watu kukubalika kukiongoza. Baada ya waasisi wa chama hicho kutangulia kwenye haki, basi wahuni wakakivamia chama chetu tunachokipenda matokeo yake sisi wakulima , wafanya kazi, wavuvi na wakwea minazi tukawa siyo kitu mbele ya chama cha CCM.

Baada ya matajiri kukivamia chama hicho ndipo kimepoteza mvuto kabisa na sasa kinakufa pole pole, wakati ule watu kama hao walikuwa hawakubaliki kamwe, sasa Idd Simba aende CHADEMA akafanye nini?

Watu wafuatao kwa tabia zao hawafai kabisa kuwa viongozi wa chama chochote iwe CCM, CHADEMA CUF n,kna wakiwa viongozi wa vyama kati ya hivyo nilivyovitaja basi chama hicho kitakufa polepole kama mtu afae kwa corbon monoxide poisoning.

I. IDD SIMBA
II. ROSTAM AZIZ
III. ADEN RAGE
IV. ANDREW CHENGE
V. KARAMAGI


Na wengine ongezea. ( muliokaribu na Nape Nnawie mwonyesheni asome haya.)

III. ADEN RAGE..ana tatizo gani, au we YANGA, sasa unaleta chuki binafsi, au we mdini!
 
Baada ya kuwaudhi watu ndani ya CCM na wao kumuandalia mpango kabambe wa kumfilisi baada ya ile skendo ya UDA kuna tetesi zimeenea hapa mjini kuwa IDDI SIMBA yuko mbioni kuhamia CHADEMA

narudia hizi ni tetesi lakini kama mtu Iddi Simba leo akihamia CHADEMA naamini kuwa yale mashamba yooote yaliyopo ngara aliyowauzia wamarekani yatarudi mikononi mwa wa Tanzania.

M4C for life!


Idd Simba amekwisha kisiasa. Hata akihamia CHADEMA hatutegemei kama atakuwa na la maana. Hata hivyo sio vema kumpa nafasi ya kumjadili kama vile ni wa maana sana. Mwache augulie na hilo aibu alilotundikwa na washirika wake ili kummaliza.
 
Baada ya kuwaudhi watu ndani ya CCM na wao kumuandalia mpango kabambe wa kumfilisi baada ya ile skendo ya UDA kuna tetesi zimeenea hapa mjini kuwa IDDI SIMBA yuko mbioni kuhamia CHADEMA

narudia hizi ni tetesi lakini kama mtu Iddi Simba leo akihamia CHADEMA naamini kuwa yale mashamba yooote yaliyopo ngara aliyowauzia wamarekani yatarudi mikononi mwa wa Tanzania.

M4C for life!
Hata asipohamia kama tuhuma ni za Kweli atalazimika kuyarudisha baada ya 2015 tu.Hana option.Hatakiwi kurudisha kwa Hisani.Na kama tuhuma ni za Kweli hastahili nafasi CHADEMA bali gerezani
 
Hii si ndiyo ile kampuni imeshirikiana na Agrisol ya Marekani kuwanyang'anya ardhi wale wakimbizi wa Burundi waliopewa uraia wa Tanzania kule Rukwa na kupewa mkataba wa eka 800,000 kwa shilingi 200 kwa eka kwa miaka 99?

Basically...
 
SI LAZIMA AKATALIWE PIA KAMA SABABU ZIPO ANAWEZA HAMIA JAPOKUWA SI RAHISI KWA MTU KAMA ID SIMBA NI MWOGA SANA ANAJUA KIAKACHOMKUTA MBELE YA SAFARI:director:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom