Baada ya kuwaudhi watu ndani ya CCM na wao kumuandalia mpango kabambe wa kumfilisi baada ya ile skendo ya UDA kuna tetesi zimeenea hapa mjini kuwa IDDI SIMBA yuko mbioni kuhamia CHADEMA
narudia hizi ni tetesi lakini kama mtu Iddi Simba leo akihamia CHADEMA naamini kuwa yale mashamba yooote yaliyopo ngara aliyowauzia wamarekani yatarudi mikononi mwa wa Tanganyika.
M4C for life!
Milele haitakaa itokee, milele tafuta habari nyingine.
.Baada ya kuwaudhi watu ndani ya CCM na wao kumuandalia mpango kabambe wa kumfilisi baada ya ile skendo ya UDA kuna tetesi zimeenea hapa mjini kuwa IDDI SIMBA yuko mbioni kuhamia CHADEMA
narudia hizi ni tetesi lakini kama mtu Iddi Simba leo akihamia CHADEMA naamini kuwa yale mashamba yooote yaliyopo ngara aliyowauzia wamarekani yatarudi mikononi mwa wa Tanzania.
M4C for life!
Mtoto wa Kiume pekee wa IDD SIMBA ameoa kwa BOB MAKANI yule Daktari bingwa wa
Sickle Cell kwahiyo itakuwa kama waliongea vile Lakini IDD SIMBA Mmmm Ni
Mtoto wa SAIGON, Mikono yake imepita sehemu nyingi kweli ana Mali ndio lakini
Kazidodosa kivyake vyake; lakini alikuwa MALI anazo tangu hajaingia kwenye
siasa za CCM haulinganishi na kina Malecela, Mramba, Riz1, Yona, Mkapa, n.k
Not bad for asylum seeker from Burindi kuja Tanzania na kujiweka katikati ya utawala Tanzania
ukisikia hustler ndio huyo
sasa anauza na ardhi ya Tanzania bila wasi wasi
Kwa hiyo....
Baada ya kuwaudhi watu ndani ya CCM na wao kumuandalia mpango kabambe wa kumfilisi baada ya ile skendo ya UDA kuna tetesi zimeenea hapa mjini kuwa IDDI SIMBA yuko mbioni kuhamia CHADEMA
narudia hizi ni tetesi lakini kama mtu Iddi Simba leo akihamia CHADEMA naamini kuwa yale mashamba yooote yaliyopo ngara aliyowauzia wamarekani yatarudi mikononi mwa wa Tanzania.
M4C for life!
Naona ulivyo mwepei wa kukurupuka.....hebu punguza munkari na usome na kuelewa nn kimeandikwa. Hoja iliyopo ni Idd Simba kuhamia CDM. Wapo wanaoona hilo haliwezekani kwani yeye ni fisadi (au alikuwa). Nikahoji..... basi kwa maneno mengine kwa vile neno kanisa linakuudhi mno..... mharifu akiacha uharifu akaamua kumfuata Mungu, dini zimkatae? Kama akili yako haitaelewa na hili, basi sina jinsi.huwezi kuacha utoto hata ukipewa ushauri wa kuacha?
Kama hupo makini hebu twambie kanisa kwenye hii mada liko wapi?
.IDD SIMBA CHADEMA HAWEZI KUKUBALIWA KAMWEEEEEEEEEE
Nakataa, nakataa, nakataa japokuwa mimi ni kidampa tu CDM, lakini ninaamini kabisa Idd Simba akiomba kuhamia CDM atakataliwa kama vile mtu anayeumwa kichaa cha mbwa anavyoyakataa maji.
Ikumbukwe kwamba CCM imezalaurika mbele ya jamii kwa mtindo huo huo wa kukiuka maadili yake iliyojiwekea kwamba uadilifu ni moja ya vigezo vya watu kukubalika kukiongoza. Baada ya waasisi wa chama hicho kutangulia kwenye haki, basi wahuni wakakivamia chama chetu tunachokipenda matokeo yake sisi wakulima , wafanya kazi, wavuvi na wakwea minazi tukawa siyo kitu mbele ya chama cha CCM.
Baada ya matajiri kukivamia chama hicho ndipo kimepoteza mvuto kabisa na sasa kinakufa pole pole, wakati ule watu kama hao walikuwa hawakubaliki kamwe, sasa Idd Simba aende CHADEMA akafanye nini?
Watu wafuatao kwa tabia zao hawafai kabisa kuwa viongozi wa chama chochote iwe CCM, CHADEMA CUF n,kna wakiwa viongozi wa vyama kati ya hivyo nilivyovitaja basi chama hicho kitakufa polepole kama mtu afae kwa corbon monoxide poisoning.
I. IDD SIMBA
II. ROSTAM AZIZ
III. ADEN RAGE
IV. ANDREW CHENGE
V. KARAMAGI
Na wengine ongezea. ( muliokaribu na Nape Nnawie mwonyesheni asome haya.)
Baada ya kuwaudhi watu ndani ya CCM na wao kumuandalia mpango kabambe wa kumfilisi baada ya ile skendo ya UDA kuna tetesi zimeenea hapa mjini kuwa IDDI SIMBA yuko mbioni kuhamia CHADEMA
narudia hizi ni tetesi lakini kama mtu Iddi Simba leo akihamia CHADEMA naamini kuwa yale mashamba yooote yaliyopo ngara aliyowauzia wamarekani yatarudi mikononi mwa wa Tanzania.
M4C for life!
Hii si ndiyo ile kampuni imeshirikiana na Agrisol ya Marekani kuwanyang'anya ardhi wale wakimbizi wa Burundi waliopewa uraia wa Tanzania kule Rukwa na kupewa mkataba wa eka 800,000 kwa shilingi 200 kwa eka kwa miaka 99?
Hata asipohamia kama tuhuma ni za Kweli atalazimika kuyarudisha baada ya 2015 tu.Hana option.Hatakiwi kurudisha kwa Hisani.Na kama tuhuma ni za Kweli hastahili nafasi CHADEMA bali gerezaniBaada ya kuwaudhi watu ndani ya CCM na wao kumuandalia mpango kabambe wa kumfilisi baada ya ile skendo ya UDA kuna tetesi zimeenea hapa mjini kuwa IDDI SIMBA yuko mbioni kuhamia CHADEMA
narudia hizi ni tetesi lakini kama mtu Iddi Simba leo akihamia CHADEMA naamini kuwa yale mashamba yooote yaliyopo ngara aliyowauzia wamarekani yatarudi mikononi mwa wa Tanzania.
M4C for life!
Hii si ndiyo ile kampuni imeshirikiana na Agrisol ya Marekani kuwanyang'anya ardhi wale wakimbizi wa Burundi waliopewa uraia wa Tanzania kule Rukwa na kupewa mkataba wa eka 800,000 kwa shilingi 200 kwa eka kwa miaka 99?