malimamalima
Member
- Feb 18, 2011
- 66
- 15
Kiu kweli naona ccm suala la kujivua magamba wanacheza nalo maana haimkiniki mafisadi hao hao wampe adhabu mtu amabet anawatuhumu wao kwa ufisadi then wao wamuadhibu'
idd azan ni fisadi ni hana sifa ya kuwa mbunge hasa jimbo la kinodnoni...ajivue yeye gamba then aanze kuwatuhumu wenzake...zogo hapa limeanza baada ya azan kukwepa kuwalipa hao viongozi pesa waliokubaliana ya kumfanya mshindi kura za maoni...alilipa nusu na balance hataki kulipa so ameona ngoja awachongee ili waondoke ...imekula kwake...