DJ CHOKA FREDY
Member
- Apr 9, 2011
- 38
- 3
Hao wa magamba watajijua wenyewe sisi ni harakati tuu kuichukua nchi yetu 2015 hatuangalii Shykazi wala Idd chocolate hapa.... hapa kazi tuu CDM.
Ccm itaishia mwanzoni mwa mwaka 2014. Yakumbuke maneno aya.
chadema inapata misaada mingi toka kwa wana ccm kwani nao wamechoka na ccm ila wanahofia kuharibiwa na ccm
idd azam alikuwa wapi siku zote kutoa shutuma dhidi ya bhanji? inakuwaje mpaka apewe adhabu yeye ndipo amlalamikie shayros? yetu macho bwana kauli yake ya mwanzo imepelekea yeye kupata adhabu kwa vile alishindwa kuithibitisha ...sasa amedai shyrose aliisaidia chadema kwenye uchaguzi mkuu...athibitishe madai yake basi
Yoooote ni MAGAMBA TU
Duh kumbe roho ilishatoka yamebaki magamba, hapo hata uhai haupo