Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,173
- 3,896
Tunatakiwa kuwa werevu, tujue kwamba mtandao huu unasimamiwa na sheria za Marekani ilikokampuni ambayo JF imesajiliwa. Mhusika na mtandao huu wa JF pengine anajua zaidi kuliko tunavyofikiri kwa vile sisi tunajua tu ni mradi mtandao mtu ujiandikie utakavyobila kufuta maadili, miiko, sheria na kanuni ambazo mtandao huu umeridhia vinginevyo utabatilishwa.
Kama mtandao huu ungekuwa unasimamiwa na sheria za Tanzania na kampuni provider ni ya Tanzania, hapo tungekwua kuru kufanya tutakavyo kwa maana kwamba sheria zetu haziko wazi kuhusu mitandao.
Candid Scope, what is the message you want to give us here? Tuogope kusema ukweli kwamba kama tukiendelea hivi hatutafika mahala popote? Usalama umenajisiwa na tamaa binafsi,wizi na ufujaji wa mali ya umma kwa vigezo vya kuwa na access na sehemu zote za Tanzania halafu mnataka tuendelee kukaa kimya kama hatuhusiki?tamsaidia nani sasa mwosho wa siku? Feedback is the food for the champions...tunataka kwenda mbele na sio kurudi nyuma. Hizi kashfa zinaturudisha sana nyuma na ukiangalia kwa makini ni kwasababu usalama wameacha kuwa professionals. Wameamua kuside na wanasiasa wenye tamaa ya mali na madaraka tu.