Haya mambo yanahumiza sana ,halafu hawa wakubwa wanavyofatilia ufundishaji kwa vitisho bila kuangalia changamoto za walimu na mazingira husika, ukianza kufuatilia stahiki zako wanakupuuza shenzi sana hawa kengeWakuu shalom!!husikeni na mada tajwa hapo juu Swala ni kwamba idara hii kwa makusudi kabisa imeamua kukausha na malipo ya baadhi ya walimu waliohusika katika kazi maalum ijulikanayo kitaalam kama SFNE ambapo kuanzia semina walimu walijihudumia wenyewe kwenda kwenye kazi kwa pesa yao huku mkidanganya kwamba pesa mtaweka kwa account matokeo yake mnaanza usanii kwamba watu wameleta taarifa zisizo sahihi na upuuzi mwingine ambao kimsingi Hamna hoja ya maana tafadhali sana msitake kumchonganisha mkurugenzi na watumishi wake kwa huo ujuaji wenu hasa wewe mama unaehusika na malipo bahati nzuri sikufahamu jina haiwezekani mtu afanye kazi ya kitaifa halafu malipo yake inakua ni kashfa huyo mama ana majibu ya hovyo mno tunaomba mlipe fedha za walimu waliosimamia mitihani mkiendelea na huu upuuzi wenu tutapaza sauti kwa waziri mwenye dhamana kwa kuwataja wahusika wote mnaotuzungusha tukifika hapo ofisini kwenu tafadhali lipeni pesa za walimu kuweni japo na hofu ya Mungu ndio nyie mnasababisha walimu tunaonekana masikini mitaani huku
Sa itakuwaje😊Sio Wilaya hiyo tu..
Nchi nzima. Tunarudi zile zama za kisengseng..
Hela ya watu wapumbavu wanaikalia tu...
Hii hii awamu ya 6?Namuona pale mkurugenzi akimwita mweka hazina wanateta jambo mweka hazina anamtupia lawama afisa elimu afisa alimu anakataa anasema wao washamaliza kila kitu suala kipo ofisi ya fedha, mkurugenzi anamrudia mweka hazina kuomba aone documents za malipo mweka hazina anajikanyaga kanyaga pale anaitwa mwahasibu alete documents mhasibbu analeta documents kungalia hivi documents zinaonyesha pesa ishatolewa mkurugenzi anadata pesa zipo wapi mweka hazina anasema zipo kwenye strong room yao wanayoifadhia pesa haya wanaenda hesabu pesa wanakuta milioni 20 haipo
Mkurugenzi anadata mweka haazina anasema boss nilijikopesha nilijua pesa z ile ingetoka mapema sasa imechelewa mkurugenzi anawaka anampa masaa sita pesa iwe imepatikana na walimu walipwe haki yao
NAWAZA TU SINEMA ILIVYO NA UKWELI LEO MNALIPWA MMESHITAKI SEHEMU SAHIHI JF UKO MAOFISINI HAKUKALIKI SASA
Yaani na wewe ni Mwalimu mwenye lugha hizi?Ila tulipwe tukikupumulia kisogoni wewe
Walishiriki ile nyimbo bila kujua msoma namba ni mtu anaepitwa na gari ili aione plateCCM siku zote ni laana
Ulipoleta Jambo hapa JF nilidhan umeleta ili usaidiwe kama kuna watu Wana uwezo wa kulifatilia, ila nashangaa swala limeingia matusi na usiasa ndani. Jaribu kuheshimu watu na jifunze kutumia lugha nzuri kwa kila mtu. Hapa kuna watu wa umri na kazi tofauti. Niko sure kwa utofauti wetu wa umri, mimi ni kama mzazi wako.Zinaonekana kwenye mfumo wa uzazi au?