Kuna kilio kikubwa sana toka kwa watu ambao hawakusoma vyuo vya Tanzania yetu. Ajira za serikalini zinazoelekezwa katika vyuo vya elimu ya juu vinahitaji uwe na kiwango fulani cha GPA, nadhani iwe 3.8 kwenda juu. Hili ni hitaji sahihi lakini kuna tatizo la kukariri neno GPA hata kwa watu wasiohusika. Vyuo vingi vya nje ya Tanzania, havitumii ufaulu huo wa GPA.
Matokeo yake waliosoma nje ya Tanzania hawapati ajira ktk sehemu hizo kwa kisingizioa cha kutokuwa na GPA kwenye vyeti vyao. TCU wanachofanya ni kutapeli watu pesa zao kwa kisingizio cha kuidhinisha vyeti vyao, lakini huwa hawawezi kuvitafutia hiyo GPA ili viendane na mahitaji ya Tanzania.
Muhimu ni kwenu Tume ya ajira serikalini, rekebisheni mahitaji yenu ya ajira na kuelewa kwamba GPA siyo kipimo cha dunia yote ktk elimu. TCU pia acheni kuchota pesa za watu kwa kisingizio cha kuthibitisha vyeti vya watu, wakati hakuna lolote linalofanyika ktk ofisi zenu.
Matokeo yake waliosoma nje ya Tanzania hawapati ajira ktk sehemu hizo kwa kisingizioa cha kutokuwa na GPA kwenye vyeti vyao. TCU wanachofanya ni kutapeli watu pesa zao kwa kisingizio cha kuidhinisha vyeti vyao, lakini huwa hawawezi kuvitafutia hiyo GPA ili viendane na mahitaji ya Tanzania.
Muhimu ni kwenu Tume ya ajira serikalini, rekebisheni mahitaji yenu ya ajira na kuelewa kwamba GPA siyo kipimo cha dunia yote ktk elimu. TCU pia acheni kuchota pesa za watu kwa kisingizio cha kuthibitisha vyeti vya watu, wakati hakuna lolote linalofanyika ktk ofisi zenu.