MARASA YOKOHAMA
New Member
- Mar 29, 2011
- 3
- 0
Ndo kusema wanawake wanaoa au wanaolewa kama mtindo ndo huu, je nani atavaa shela??
Mhh kuwa uyaona haya
Unashangaa,mbona mie yashanikuta na alinishawishi na kuniahidi kila kitu nikafikiriiiiiiiiiiii,mwisho nikasema Umarioo NO nikatoka mkuku.
Hahah hahha pole sa best wangu ungekuwa wanaume kama mabinti lol :lol::lol::lol::lol:
Unashangaa,mbona mie yashanikuta na alinishawishi na kuniahidi kila kitu nikafikiriiiiiiiiiiii,mwisho nikasema Umarioo NO nikatoka mkuku.
Lol! Paka jamani, mbona umemkatili mwenzio, umemfuatilia kama ameshapata mtu?
Unashangaa,mbona mie yashanikuta na alinishawishi na kuniahidi kila kitu nikafikiriiiiiiiiiiii,mwisho nikasema Umarioo NO nikatoka mkuku.
Hii ya mwanamke kujitolea mahari sijawahi kuisikia!!
Mpaka leo anakwenda kusalimia mama yangu na ameahidi hatoolewa kama sintofanya hivyo mimi..
Unashangaa,mbona mie yashanikuta na alinishawishi na kuniahidi kila kitu nikafikiriiiiiiiiiiii,mwisho nikasema Umarioo NO nikatoka mkuku.
Join Date : 29th March 2011
Posts : 2
Thanks 0 Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 0
msimlaumu sana ndio kajiunga jana!!!
Sarafina ongea na mwenzio mfundishe kutoa thread zenye shibe!! na zenye kukidhi mahitaji ya wana JF members!!