Ibara ya 35 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Katiba mpya amekataa,kasema mmuache kwanza awanyooshe
Ni umimi na kujawa sifa za kijinga, kesho akifa au chama chake kikianguka mambo yatarudi kulekule. Ni vema akatengeza tanzania ya sasa na ya vizazi vijavyo.
 
Nadhani Pascal hakupata mwalimu mzuri wa constitutional law. Nadharia ya awali ilikuwa kwamba hii mihimili ifanye kazi kila mhimili kivyake. Ikaja kugundulik kwamba hii haiwezekani. Wana nadharia wakaja na kitu inaitwa checks and balances ili iangaliane pia ikaonekana ni wazi kwamba muhimili wa executive una upper hand hasa mkuu wake anapokuwa pia mkuu wa dola. Kama wako sawa mbona sioni Jaji Mkuu akipata ulinzi sawa na Rais? Jaji Mkuj hana uwezo wa kutoa msamaha kwa mtu aliyefungwa ama kubadili hukumu ya mahakama ila kwa kupitia mahakama.
Yan wew hujui sheria hata kidogo,ata hvyo c kosa lako n kosala mwalimu wako.urais wa nchi n usukani wa kuendeshea gvt,anaweza kuushka rais,jaji mkuu spika wa bunge.sasa kwa nn useme mhiml mmoja unanguvu kuliko mwngne?.huyo makuful n mvunjifu wa makusudi wa katiba yetu.
 
Yan wew hujui sheria hata kidogo,ata hvyo c kosa lako n kosala mwalimu wako.urais wa nchi n usukani wa kuendeshea gvt,anaweza kuushka rais,jaji mkuu spika wa bunge.sasa kwa nn useme mhiml mmoja unanguvu kuliko mwngne?.huyo makuful n mvunjifu wa makusudi wa katiba yetu.
Wewe ndio hujui sheria hata kidogo wala hujui constitutional law.
 
Nyerere alisema hivi "kwa katiba hii tuliyonayo anaweza kutokea kiongozi na kuitumia kwa maslahi yake" hii ni nukuu ya mwl nyerere akizungumzia uzuri na ubaya wa katiba tuliyonayo.
Suruhisho pekee kwa sasa ni kudai katiba mpya iliyopendekezwa na wananchi ili tuondoe u Miungu watu ambao umeliingilia taifa letu kwa sasa.

Swelana aka umtinki.
Hata uwe na katiba nzuri kiasi gani, lazima mhimili mmoja uwe boss wa mihimili mingine. Na mhimili huo ni ule wenye pesa over.

Hata wahadhiri nguli kama the late prof Othman na Prof Baregu waliwahi kukiri hili kuwa haiwezekani kuwa na total separation of power
 
Hivi ninyi mnajadili nini?Mtukufu anajua anachofanya na anaongea bila pepesa macho ila anajua hakuna mtakacho mfanya hivi Kamanda Lema hamumuelewi?
 
(The Executive) ndio muhimili ulio juu kuliko mwingine wowote, kwasababu ndio ulio na Jeshi la mamlaka, pamoja na fedha. Katiba yenyewe inaelekeza hayo.
 
Back
Top Bottom