Hiki ndiyo kitakachopelekea ujauzito.Thanks siwezi gombana nae. Nitapiga cha mwisho then nachoka soon natafuta mwingi wakukaba pengo wakatinaendelea kutafuta wakuweka ndani.
Then utaanza kujiuliza kama mtoto ni wako au la!
Si unajua watoto wa kuiba wanavyofanana na mama zao kuliko mwizi mwenyewe?