Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
<br />sijaliona hilo thread kwa kweli<br />
hebu lifufue.....
<br />
nimemrushia invisible aliedit kwanza.
Nataka kitoke kitu high Q.
<br />sijaliona hilo thread kwa kweli<br />
hebu lifufue.....
Sitaweza kuvumilia kukukosa hapa, kwa hiyo hebu usiseme kitu huna ushahidi nacho Gaijin...
Napenda ulumbane......do it for me plz :]
Naelekea huko Fikra Pevu...tuongozane kama hutajali.
mhhhh...umeona ile sredi ingine haitoshi, ukaanzisha nyingine???!!!.....mhhhhh!!!!! POLE
<br />Nimetokea kumpenda member wa hapa JF anaitwa The Finest ila tatizo ni kwamba simjui sielewi labda inawezekana akawa ni mume wa mtu vile vile ila kiukweli i have feelings for him ila sijui nianzeje
<br /><font size="4"><span style="font-family: century gothic">Kapenda KH! Bora asiumie roho yake na aweke jitihada zaidi za kumnasa mhusika.<br />
<br />
</span></font>
<br />
<br />
Dada yangu kila kitu ni mipango ya Mungu
Ok nakusubiri, ila usije nianzishia varangati maana unaonekana mkali sana weye!Tangulia naja
Ok nakusubiri, ila usije nianzishia varangati maana unaonekana mkali sana weye!
Kiongozi, just FYI, Gaijin ni mwalimu mwelekezi, wala usitie shaka
Kiongozi, just FYI, Gaijin ni mwalimu mwelekezi, wala usitie shaka
Kaizer nakuona unanichuuza.....lkn akae akijua wanafunzi legelege hawatavumiliwa )
Nimetokea kumpenda member wa hapa JF anaitwa The Finest ila tatizo ni kwamba simjui sielewi labda inawezekana akawa ni mume wa mtu vile vile ila kiukweli i have feelings for him ila sijui nianzeje
<br />
<br />
Kaizer mbona unanicheka
Waweza kuta denti mwenyewe ndo staili ile ya akina Bill Gates, kina Mark wa facebook na yule founder wa Apple computers....darasani si mzuri kivile ila Invention usipime.
nakuunga mkono ndugu, maana hata mm kuna member nampenda humu ndani sema ndiyo hivyo. sielewi kama ni mwanaume au la!