I think i'm in love ila sijui nifanyeje?

<font size="4"><span style="font-family: century gothic">Kapenda KH! Bora asiumie roho yake na aweke jitihada zaidi za kumnasa mhusika.<br />
<br />
</span></font>/QUOTE]<br />
<br />
Hata nami nimeona BAK. Sikujua kumbe waliifunga. Namtakia kila la heri .
 
Last edited by a moderator:
nakuunga mkono ndugu, maana hata mm kuna member nampenda humu ndani sema ndiyo hivyo. sielewi kama ni mwanaume au la!
What are you waiting for express your feelings kama Jux alivyo-express feelings zake kwa The Finest
 
Nimetokea kumpenda member wa hapa JF anaitwa The Finest ila tatizo ni kwamba simjui sielewi labda inawezekana akawa ni mume wa mtu vile vile ila kiukweli i have feelings for him ila sijui nianzeje


Umemependa yy ? au avatar yake? hebu tufafanulie kidoooogo......!
 
let the boy absorb the shock kwanza banaa, unadhani kuvunjiwa ukimya ni kitu rahisi hivyo? na nilishamuonya kuhusu avatar hii, shauri zake!
shkamoo shemeji...
hahaha dogo msredi una page nane hizi halafu unamalizia mambo PM inakuwaje....ama unamfahamu Jux? lol
<br />
<br />
 
Mmmmhhhh all da best, akiwa mume wa mtu mfanye 'just friend'. Kuna mkaka humu JF yaani ningeweza ningemlink na my hommie coz ni full mashauzi nilipitia comments zake kwenye thread ya member anatafuta jiko! Was like dah huyu naye .................
Mmhh....morio umenichekesha kweli
 
wote waliochangia humu
umeni pick mimi wa kunitukana na kuniita
nina kimbelembele sio?????????

Watch urself and watch ur mouth....
Usidanganyike kuwa uko mbali
some of us are capable of anything....
Hata ikibidi nitumie milioni kumi kukumata
na kukuonyesha exactly mimi ni nani...
Carefull

aisee mbona mkali hivi?
The Finest mlifilikia muafaka gani?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom