Last edited by a moderator:
ha ha ha ndo maana harusi yetu itakua PARIS bongo wanga wengi watatuharibia !!
:A S kiss::A S-heart-2:i need girl from jf who is under 21 in years so plz just find me on 0716468823:cool2:
watanizushia nilifunga nao harusi makanisa kadhaa..........way back
Kumbe unauza....nipe tenda ya marketing...tupige Hela...
niogope nn wakati utamu ndo umebebwa kwenye ndoano....Tobaaa...!!(mkono mdomoni)
Huogopi ndoano...???
Mwanaume huwa haombi kupendwa, tafuta hela wenyewe tutajileta....
ili wapendeke sio, wataisoma mbona.walipokuwa 21 maringo ndio usisema saiv wanaitafuta 30 soko limekata wanarud 21 wataisoma.
Hahahaha hapa Egyptian calendar lazima ihusike. Mtu sura imekomaa na mashavu hadi yanachuma kunde but anajifanya mtoto lol
yaa thats true honey:mimba:nahis like twins
yupo ndani ya ndoa sio nje..na nimevurugwa na penzi lake ndo mana unaona uliniita long ila leo ndo nakumbuka jfhee huna habari? karibuni tu tutapata baby boy
We wa #teambazazi uko ndani ya ndoa au nje ya ndoa huyo mtoto wako na ICHANA
ICHANA hebu muulize mwekundu aliacha lini uanachama wa #teambazazi maana kule ni for life uanachama wake