Huyu dogo anambeba sana werrason sio siri....ameziba kabisa pengo la ferre gola,werra amshike huyu sasa maana nae vijana wanamkibia kimbia sana kwa kuwa anawapunja sana hela wakati wanafanya kazi kubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.