I love my best friend's sister

Umewahi kuwa narafiki yako wakaribu mno mnaye share nae mambo kibao(best friend)? mmekuwa pamoja,sekondari, chuo pamoja...anakujua mwanzo mwisho, viwanja vyako vyote na fujo zote nk

But here comes, alilazwa nikawa naenda kumcheck daily hospital na hapo ndipo nilioanza kumjua sister wake alikua anaishi Arusha kwa kwa mama yake, alikuwa anamleta chakula kila siku, she is so hot, cute.

At the begining ilikuwa sister kweli lakini taratibu tukaanza kujenga kakitu.........namtamani na yeye pia amenidondokea kimtindo, simu haziishi, sms usiseme tena za kiuchokozi.........I cant stop thinking about her

Mshikaji amepona sister haishi simu na sms,ofkozi hata mimi napiga na sms kwa sana tu lakini mshikaji hajui kinachoendelea

Aliniomba mchango wa birthday ya rafiki yake nikampa na sasa amekomalia jumamosi ijayo twende wote kwenye sherehe hiyo kigamboni.......amesisitiza kweli nisimuangushe, najua lazima nitaharibu tu
Natamani kumwambia najua na yeye anataka kusikia hivyo lakini kila nikimfikiria mshkaji nguvu yote inaniishia


MAONI YAKO MUHIMU

mmekuwa pamoja,sekondari, chuo pamoja.....na bado hukuwa unajua kama ana dada
Hebu rudia tena
OTIS
 
Ivi ukija kujua kama rafiki yako anatembea na mdogo wako na huyo rafiki ni wakaribu sana na unamuona kama ndugu yako
akifanya hayo utajisikia vp? nadhani jawabu unalo...
 
kama ushajua lazima uharibu bora usiende tu huko
mbili kuna wadada wako ivo anakua kama anakutaka kumbe hata hakutaki ndio alivo kucheka na kumzoea mtu fasta so ukimuingizia habari zako ndio unapokea matusi yote unayoyajua hapa duniani na wlaa hutaamini kama ni yule aliyekua anatabasam na ww daily(wako wadada wa ivo tena wengi sana sijui ndio wako kundi gani ila wako wanapenda kuwazoea watu na kuwachekea ukiwagusia tu umekwisha ivo nakushauri usome upepo kwanza)
 
Sasa ulikuwa unasubiri uruhusiwe kaka yake?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Umewahi kuwa narafiki yako wakaribu mno mnaye share nae mambo kibao(best friend)? mmekuwa pamoja,sekondari, chuo pamoja...anakujua mwanzo mwisho, viwanja vyako vyote na fujo zote nk

But here comes, alilazwa nikawa naenda kumcheck daily hospital na hapo ndipo nilioanza kumjua sister wake alikua anaishi Arusha kwa kwa mama yake, alikuwa anamleta chakula kila siku, she is so hot, cute.

At the begining ilikuwa sister kweli lakini taratibu tukaanza kujenga kakitu.........namtamani na yeye pia amenidondokea kimtindo, simu haziishi, sms usiseme tena za kiuchokozi.........I cant stop thinking about her

Mshikaji amepona sister haishi simu na sms,ofkozi hata mimi napiga na sms kwa sana tu lakini mshikaji hajui kinachoendelea

Aliniomba mchango wa birthday ya rafiki yake nikampa na sasa amekomalia jumamosi ijayo twende wote kwenye sherehe hiyo kigamboni.......amesisitiza kweli nisimuangushe, najua lazima nitaharibu tu
Natamani kumwambia najua na yeye anataka kusikia hivyo lakini kila nikimfikiria mshkaji nguvu yote inaniishia


MAONI YAKO MUHIMU

Kama unampenda kweli kwanini isiwe? Au umekusudia kuwa unamtamani? Kama unampenda imarisha uhusiano na rafiki yako kwa kutangaza ndowa na kama ni kumfanya ni miongoni mwa wahanga wa vitimbi vyako anavyovielewa rafiki yako basi hapo chukuwa tahadhari kwani unaweza ukamkosa mmoja wao.
 
nahisi Unaogopa sababu unajua either huna mpango wa kudumu na huyo dada "yenu" or huko nyuma umeharibu sana na kwa vile rafiki yako anakufahamu sana unadhani urafiki utaishia hapo.
kama huna uhakika na sustainability ya hiyo relationship, achana naye kabisa, maana utapoteza kila kitu, labda kama hujali.
ila kama una uhakika, nakushauri uongee na rafiki yako unachofeel kabla hujamwambia dada mtu, uone msimamo wa rafiki yako. aki-approve then ndo umwambie dada. madhara ya kuanza na dada kabla rafiki hajajua ni kwamba, siku rafiki akijua (kabla hujamwambia) atajua umemzunguka; au ukimwambia baada ya kuanza akakubali tu sababu mmeshaanza, mkija kumwagana moto utakuwakia
 
inaonyesha wewe mwenyewe ni kicheche na huyo rafiki yako anakujua vilivyo.kama ni mtu ambae umetulia,na rafiki anajua hivyo,wala usingeona tabu,na tena ungemuomba ushauri huyo huyo kaka yake ambae wewe ni rafiki yako
 
inaonyesha wewe mwenyewe ni kicheche na huyo rafiki yako anakujua vilivyo.kama ni mtu ambae umetulia,na rafiki anajua hivyo,wala usingeona tabu,na tena ungemuomba ushauri huyo huyo kaka yake ambae wewe ni rafiki yako
Ni kweli kabisa.
kuna kaka mmoja alikuwa rafiki wa kaka yangu, yeye alikuwa anaishi na wazazi ila kaka alikuwa anaishi peke yake, baadae akaomba kwa mama mimi nikakae naye. sasa unajua mambo ya vijana, alikuwa ana tabia ya kuleta mabinti pale nyumbani kabla mimi sijaja. nilipokuja tukazoeana sana na mara nyingi alikuwa anamwomba kaka aende na mimi disco. alikuwa pia ananipeleka sana kwao, nikawa close sana na mamaye.
sasa bwana, si na mimi AKANITAMANI!!! aliponiambia, nikamshangaa sana na kumwambia yeye ni kama kaka yangu, sitaweza. siku akamwambia rafiki yao mwingine "ningekuwa siwaletagi wale mabinti kwa huyu rafiki, ningemwomba aniombee kwa dada yake, maana nampenda sana na nataka kumuoa, sasa nilishaharibu, sijui ntaanzia wapi".
mambo ya kuambiana kila kitu na rafiki zenu wakati hamjawahi kuona dada zao hayafai.................
 
kwanini una-conclude kwamba 'alikutamani' na si kwamba maybe 'alikupenda'?
Ni kweli sina uhakika, na inawezekana kabisa alinipenda, lakini nilikuwa nadhani angenipenda ki hivyo asingeona noma kwenda kumlilia kaka yangu na kujieleza.............. binadamu huwa wanabadilika, angeahidi kuwa atabadilika.
 
nahisi Unaogopa sababu unajua either huna mpango wa kudumu na huyo dada "yenu" or huko nyuma umeharibu sana na kwa vile rafiki yako anakufahamu sana unadhani urafiki utaishia hapo.
kama huna uhakika na sustainability ya hiyo relationship, achana naye kabisa, maana utapoteza kila kitu, labda kama hujali.
ila kama una uhakika, nakushauri uongee na rafiki yako unachofeel kabla hujamwambia dada mtu, uone msimamo wa rafiki yako. aki-approve then ndo umwambie dada. madhara ya kuanza na dada kabla rafiki hajajua ni kwamba, siku rafiki akijua (kabla hujamwambia) atajua umemzunguka; au ukimwambia baada ya kuanza akakubali tu sababu mmeshaanza, mkija kumwagana moto utakuwakia

Mkuu Fixed Point Hivi unaweza ukamuona msichana ukampenda na kabla huja mtokea ukawa umepanga eti akikubali tu nitamuoa?........I don't believe in such kind of things
Uhusiano kwanza mambo ya ndoa yatakuwa determined ndani ya uhusiano.............siwezi kuhaidi ndoa mwanzoni
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Fixed Point Hivi unaweza ukamuona msichana ukampenda na kabla huja mtokea ukawa umepanga eti akikubali tu nitamuoa?........I don't believe in such kind of things
Uhusiano kwanza mambo ya ndoa yatakuwa determined ndani ya uhusiano.............siwezi kuhaidi ndoa mwanzoni
basi mkimbie kabisaaaaaaaaaaaaaaaa
 
mmekuwa pamoja,sekondari, chuo pamoja.....na bado hukuwa unajua kama ana dada
Hebu rudia tena
OTIS
Mkuu nilikuwa namsikia yupo Arusha sikuwahi kumjua hapo kabla, sisi tupo DSM

inaonyesha wewe mwenyewe ni kicheche na huyo rafiki yako anakujua vilivyo.kama ni mtu ambae umetulia,na rafiki anajua hivyo,wala usingeona tabu,na tena ungemuomba ushauri huyo huyo kaka yake ambae wewe ni rafiki yako
ofkozi mkuu anjua madudu yangu yote

Lakini hili la kusema eti nimuombe yeye ushauri halijakaa vizuri,,,,,,,,,nitaanzaje
 
assess yourself critically. jiulize maswali haya
a) nikitugani kinachonifanya nimpende?
Mkuu mapenzi haya tafsiri.......

b)kwa tabia zangu ambazo ma friend anazijua je hazitaniharibia pozi katika mahusano haya?
.
Hapa ndipo penye utata, tabia zetu zinafanana sana na mshkaji, kona zote tupo pamoja
c) je ingekuwa ni dada yangu mimi na kwa jinsi nimjuavyo rafiki yangu je ningemkubalia wawe na mahusiano?
Binafsi nahisi ninge mind..........thats why naoma maoni yenu maana watu tunatofautiana bana
d) je nini hatma ya urafiki kati yangu na huyu rafiki yangu? niko tayari kuuvunja au uendelee?
e)
Nope sipo tayari......lakini kwani kumpenda dada yake ni kuvunja uhusiano?
e) kama ninataka uendelee na wakati namtaka na dada yake nitafanyaje ili usife?

Nijibu haya kwanza kisha nitakuja kwako na ushauri.
Hapa ndio pana nitatiza ndio maana naomba ushauri mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom