OTIS
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,251
- 828
Umewahi kuwa narafiki yako wakaribu mno mnaye share nae mambo kibao(best friend)? mmekuwa pamoja,sekondari, chuo pamoja...anakujua mwanzo mwisho, viwanja vyako vyote na fujo zote nk
But here comes, alilazwa nikawa naenda kumcheck daily hospital na hapo ndipo nilioanza kumjua sister wake alikua anaishi Arusha kwa kwa mama yake, alikuwa anamleta chakula kila siku, she is so hot, cute.
At the begining ilikuwa sister kweli lakini taratibu tukaanza kujenga kakitu.........namtamani na yeye pia amenidondokea kimtindo, simu haziishi, sms usiseme tena za kiuchokozi.........I cant stop thinking about her
Mshikaji amepona sister haishi simu na sms,ofkozi hata mimi napiga na sms kwa sana tu lakini mshikaji hajui kinachoendelea
Aliniomba mchango wa birthday ya rafiki yake nikampa na sasa amekomalia jumamosi ijayo twende wote kwenye sherehe hiyo kigamboni.......amesisitiza kweli nisimuangushe, najua lazima nitaharibu tu
Natamani kumwambia najua na yeye anataka kusikia hivyo lakini kila nikimfikiria mshkaji nguvu yote inaniishia
MAONI YAKO MUHIMU
mmekuwa pamoja,sekondari, chuo pamoja.....na bado hukuwa unajua kama ana dada
Hebu rudia tena
OTIS