I lost My Only Brother I have

Pole sana Bro! Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.
 
Pole sana kaka,Mungu akutie nguvu na kukusafirisha salama.will speak to u soon
 
Wapendwa marafiki zangu Nimempoteza kaka yangu mpendwa aliyefariki jana Hospital ya RC.Tunduma mbaye ni wa pekee kwenye familia yetu David Mwampashi najiandaa kuondoka kesho asubuhi kwenda Mbozi Mbeya kwa ajili ya mazishi siku ya Ijumaa.

NB: Nawashukuru kwa marafiki wate ambao wamenipigia simu tuliongea nao na wale ambao wameshindwa kunipata hewani kutokana na simu yangu kuwa busy nawaomba radhi na ninathamini sana faraja zenu najivunia kuwa na marafiki wa JF ni zaidi ya ndugu maana wamekuwa karibu sana.

pole mpz
pole sana
 
Mungu awafariji wafiwa katika kipindi hiki kigumu. Na iwe hivyo!
 
Pole sana,usijali maumbile yanapofanya kazi yake huwa na uchungu,maisha yanaendelea,be strong!!
 
Pole sana kamanda...Mungu akupe nguvu na faraja. Na ampumzishe mahala pema peponi.
 
Pole sana Mwenyezi Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
 
Pole sana Derimto,
Ulimpenda na Mungu pia amempenda amempenda sana.....
Mungu awatie nguvu na kuwalinda.
 
Pole sana Demrito kwa msiba mkubwa wa mpendwa kaka yako,Mungu atawatia nguvu tele.
 
Ruta i am around.... was just so busy!! But i am good... And sipo Dar saizi.... i am in Southern highlands...

wamekuonjesha panya buku hulo...maana ninasikia ni wataalamu wa kuwawinda na kuwachoma........................some claims they are a delicacy.............even in Zimbabwe do savour them.................................whoop....................
 
Back
Top Bottom