Acha kumkatisha tamaa mwenzioHao ma graduate ni mtihani kwa kweli! Bora tafuta secondary leaver
Ebu weka basi yaezekana speed ya wadada ikaongezeka.Mimi ninazo, kama unahitaji ntakuwekea hapa.
Elimu yangu ni Masters in International Marketing, ni mmiliki wa Kampuni yaani nimejiajiri, Nina mtoto wa Kike, Mimi ni Msabato ninaejua kuwa Kuna Mungu, Umri wangu ni Miaka 33, ni Mweusi, Ni mrefu wa wastani. Mwenyeji wa Kanda ya Ziwa. Mengine njoo PM.Ebu weka basi yaezekana speed ya wadada ikaongezeka.
Aasanteni kwa kujaaa...thank for comingElimu yangu ni Masters in International Marketing, ni mmiliki wa Kampuni yaani nimejiajiri, Nina mtoto wa Kike, Mimi ni Msabato ninaejua kuwa Kuna Mungu, Umri wangu ni Miaka 33, ni Mweusi, Ni mrefu wa wastani. Mwenyeji wa Kanda ya Ziwa. Mengine njoo PM.