I am desperately looking for a job

Mama wa kwanza-hakuna fani (kazi uliyosomea) usiyoweza kujiajiri. Tena kama huyo anaweza kuwa mshauri mzuri /consultant wa hali ya juu! maana kasomea sociology na anamalizia HR
 
Siri moja ambayo wantanzania wengi hatujaijua - hasa watanzania wasomi, ni kwamba kazi nyingi sana zinaonekana hazina maana, au kazi ambazo zinafanywa na kundi fulani hivi la watu ambalo ni duni.

Ukweli ni kwamba, hizi kazi zimekuwa duni na kuonekana hazina maana kwa sababu wasomi tumezikimbia na zinafanywa na watu wasio na elimu - na ndio maana zinaonekana duni.

Hivi ni msomi gani anafanya biashara ya mitumba? Ni wasomi wangapi wana maduka kariakoo?

Pindi tulipomaliza chuo, marafiki zangu wawili hao waliweka bayana kabisa kwamba hawana mpango na ajira - wao walisoma BCom. Wakaenda kariakoo na mtaji wa 10m, wakatafuta frame wakawa wanauza Tiles na vitu vidogo vidogo vya ujenzi.

Kwa sababu ya uwezo wao kielimu, walicomputerize mambo yao, and I was behind it as IT consultant. But I am telling you - it's only 1.5 years and their capital is over 90Mil. Hawa jamaa wanawazidi wenzao kwa sababu ya elimu - wana uwezo mkubwa wa kufanya internatinal business. So wana export Tiles kwenda land-locked contries kama Zambia, Rwanda, Msumbiji n.k.

Hivi ni wangapi wanajua kuwa wasomi is a fourth class hapa bongo - yaani tumepitwa na wafanyabiashara, wanasiasa na hata wasanii.

Wasomi wengi sisi tunafanya kazi kwenye ofisi nzuri, lakini mifukoni mwetu hali sio nzuri.

Wasio na elimu wanafanya kazi kwenye mazingira duni, lakini mifukoni mwao sio duni kama sisi.

Ukifuatilia wasomi wengi matajiri, basi unagundua kuwa kuna ufisadi nyuma ya mafanikio yao.

Elimu yetu ipo wapi?
 
Siri moja ambayo wantanzania wengi hatujaijua - hasa watanzania wasomi, ni kwamba kazi nyingi sana zinaonekana hazina maana, au kazi ambazo zinafanywa na kundi fulani hivi la watu ambalo ni duni.

Ukweli ni kwamba, hizi kazi zimekuwa duni na kuonekana hazina maana kwa sababu wasomi tumezikimbia na zinafanywa na watu wasio na elimu - na ndio maana zinaonekana duni.

Hivi ni msomi gani anafanya biashara ya mitumba? Ni wasomi wangapi wana maduka kariakoo?

Pindi tulipomaliza chuo, marafiki zangu wawili hao waliweka bayana kabisa kwamba hawana mpango na ajira - wao walisoma BCom. Wakaenda kariakoo na mtaji wa 10m, wakatafuta frame wakawa wanauza Tiles na vitu vidogo vidogo vya ujenzi.

Kwa sababu ya uwezo wao kielimu, walicomputerize mambo yao, and I was behind it as IT consultant. But I am telling you - it's only 1.5 years and their capital is over 90Mil. Hawa jamaa wanawazidi wenzao kwa sababu ya elimu - wana uwezo mkubwa wa kufanya internatinal business. So wana export Tiles kwenda land-locked contries kama Zambia, Rwanda, Msumbiji n.k.

Hivi ni wangapi wanajua kuwa wasomi is a fourth class hapa bongo - yaani tumepitwa na wafanyabiashara, wanasiasa na hata wasanii.

Wasomi wengi sisi tunafanya kazi kwenye ofisi nzuri, lakini mifukoni mwetu hali sio nzuri.

Wasio na elimu wanafanya kazi kwenye mazingira duni, lakini mifukoni mwao sio duni kama sisi.

Ukifuatilia wasomi wengi matajiri, basi unagundua kuwa kuna ufisadi nyuma ya mafanikio yao.

Elimu yetu ipo wapi?

Duh...mkubwa hii ni very true
I think we lack the courage to start a new chapter and we are very afraid of risks, though I dont imply that we should just welcome risks without analysing them.

One thing I've come to realise is that most of educated people feel very secure when they are employed and as long as they deliver they get comfort and feel very secure with the job.

Nadhani kama kila mwajiriwa angekuwa na mawazo kama haya then tungekuwa mbali na hata suala la kuajiriwa lingekuwa option. Cos tungekuwa werevu kwa sababu tuna intelectual capacity kubwa na pia uwezo wa kujisimamia ungekuwa mkubwa.
 
Pole sana dada Carmel.

Kwa sasa, niseme kwa upande wangu sina jinsi ya kukusaidia kupata ajira - hata hivyo nina mawazo ambayo ningependa nikushirikishe pengine yanaweza kukusaidia leo, au hata baadae.

Utakubaliana na mimi kuwa wengi hapa tanzania unaoweza kuwaita "intellectuals", watu ambo ni degree holders kuendelea mbele, wakimaliza chuo hao wanachofikiria ni kuajiriwa na kukaa kwenye office za watu - that's it. This's is really a bad mindset!

Kama challenge kwako, kule Iringa kuna sehemu wanalima viazi. Kukodisha shamba, kuliandaa, kutafuta mbegu, na gharama nyingine zote mpaka kuvuna itakugharimu 500K hadi 600K kwa heka moja.

Hekari moja yenye udongo mzuri, na kama ulifuata masharti vizuri - inatoa magunia ya viazi 80 - 70 wastani - ukikosa sana utapata 50.

Bei ya gunia moja shambani ni Tsh 50,000. Uzuri ni kwamba Viazi havina msimu, hupandwa na kuvunwa mwaka mzima mara 4. Yaani ukipanda utavuna baada ya Miezi mitatu.

Unaweza kuona kuwa heka moja inakuwa na return ya 50,000 x 80 = 4,000,000 ndani ya miezi mitatu. Kama mil 4 ni ndogo, ongeza mtaji kama 1M hivi, na utapata return ya 6M - 8M ndani ya miezi 3.

Now nikuulize swali - Ni rafiki zako wangapi walioajiriwa wanapata kiasi hichi cha pesa in 3 months?

Mimi nataka nianze kulima msimu unaoanzia January. Kwa sasa nimechelewa nimekosa mashamba watu wameshawahi.

Dada yangu, mimi pia nilimaliza University of Dar es salaam, so ni degree holder kama "intellectuals" wengine. Tofauti ni kwamba, napenda zaidi intellectuals tuingie kwenye soko la kujiajiri.

Kumbuka kuwa "Watu wote wanaweza kuajiriwa, lakini sio wote wanaweza kupata mafanikio ya maana kwa kuajiriwa"

Kwa sasa najua utakuwa huna mtaji, au una pesa kidogo sana umeihifadhi. Nakushauri, mara utakapopata kazi nzuri, save hela kiasi then jaribu kufanya investment kama hizi - na mambo yako yatabadilika kwa muda mfupi.

Na pia, unaweza kufanya mambo yote sambamba - yaani una invest huku unaendelea na ajira yako kama kawaida - hii inawezekana.

Naomba niishie hapa. Nikipata muda, ntaandika huu mchanganuo mzima hapa JF ili wana JF wote wenye tatizo la kiuchumi iwe kama ni njia ya kujikwamua.

Nakutakia kila laheri.
Asante sana kwa kuniamsha. Nasubiri huo mchanganuo ili nielimike zaidi. Thanks Ramthods. Thanks JF!
 
Nakubaliana na mawazo ya biashara. na pia mimi mwenyewe nina mifano mingi sana, hapo kariakoo watu ni std seven but they talk in terms of dollars. jamaa wana pesa sio mchezo, i have seen it.
Lakini pia tuwe realistic, we are talking about someone can not raise even 5m for a starting capital thats why the only option that remains for the moment is employment to be able to get mitaji. we all have dreams and getting to fulfil them in a country like this where you are paid laki tatu hadi tano na hapo haijakatwa kodi. its real difficulty men.
 
Na mimi nataka kazi ya kuwachekesha humumu JF hata kama mkinipa 300,000/=tsh sio
mbaya

Moderators naombama jibu tafadhali
 
Nakubaliana na mawazo ya biashara. na pia mimi mwenyewe nina mifano mingi sana, hapo kariakoo watu ni std seven but they talk in terms of dollars. jamaa wana pesa sio mchezo, i have seen it.
Lakini pia tuwe realistic, we are talking about someone can not raise even 5m for a starting capital thats why the only option that remains for the moment is employment to be able to get mitaji. we all have dreams and getting to fulfil them in a country like this where you are paid laki tatu hadi tano na hapo haijakatwa kodi. its real difficulty men.

Vipi ukipewa huo mtaji utaweza kujiendeleza?
Tayari unazo dreams madhubuti?
 
unajua mie ndo maana nikauliza kazi za HR unawez akujiajiri ???

Firstlady,

Jibu ni ndio. Ukiwa ni qualified HR unaweza kabisa ukajiajiri. Kwa kuwa muda wangu ni mdogo sitakwenda kwa undani kueleza how lakini mimi nilisoma HR na nina ka ofisi ambako kwa kweli nashukuru Mungu kananilipa.

Tiba
 
Na mimi nataka kazi ya kuwachekesha humumu JF hata kama mkinipa 300,000/=tsh sio
mbaya

Moderators naombama jibu tafadhali

kaka naomba uweke picha nzuri jamani kama ya samaki baharini, panya sisimizi..ndege hata picha yako hii nyingine mie nimeota usiku inaogopesha :(
 
Last edited:
Firstlady,

Jibu ni ndio. Ukiwa ni qualified HR unaweza kabisa ukajiajiri. Kwa kuwa muda wangu ni mdogo sitakwenda kwa undani kueleza how lakini mimi nilisoma HR na nina ka ofisi ambako kwa kweli nashukuru Mungu kananilipa.

Tiba

well done thanks
 
Nakubaliana na mawazo ya biashara. na pia mimi mwenyewe nina mifano mingi sana, hapo kariakoo watu ni std seven but they talk in terms of dollars. jamaa wana pesa sio mchezo, i have seen it.
Lakini pia tuwe realistic, we are talking about someone can not raise even 5m for a starting capital thats why the only option that remains for the moment is employment to be able to get mitaji. we all have dreams and getting to fulfil them in a country like this where you are paid laki tatu hadi tano na hapo haijakatwa kodi. its real difficulty men.

You are right dada angu. But one thing - ni lazima wazo litangulie kabla ya mtaji.

Reginald Mengi alishawahi kulizungumzia hili:

Kadhalika, alisema mtu anapaswa kuwa na wazo la biashara kabla ya kutafuta mtaji kwa kuwa kupata mtaji kabla ya kuwa na wazo la biashara anaweza kula mtaji.

``Ukienda mtaani ukawauliza vijana kwanini hamuanzishi biashara watakwambia hatuna mtaji, lakini kama huna wazo la biashara hata ukipata mtaji utakula,`` alisema.

Kwa habari kamili, soma hapa

Ni kweli kuwa kwa sasa hivi huna mtaji, ila kujiajiri kunaanza na spirit ya tafuta uhuru wa kiuchumi (financial freedom) na sio mtaji. Kwa sasa unachotakiwa kujenga ni spirit ya kujiajiri na kutafuta mawazo mazuri ya kibiashara, alafu ndio unatafuta mtaji.

Mtaji haujawahi kuwa tatizo hata siku moja kwa mtu mwenye nia ya dhati. Wanaokwambia kuwa hawana mtaji ndio maana hawawezi kujiajiri, wawekee question mark. Wahenga walisema "penye nia pana njia" na hili mimi naliunga mkono 100%.

Ukitaka kujua kuwa capital is not everything, ngoja nikupe mfano halisia wa rafiki yangu anayefanya kazi CRDB.

Huyu jamaa nimesoma nae toka Form I - IV, tumesoma nae darasa moja, course moja hapa UDSM miaka mitatu. Na pia tulikua tuna-share kitanda kimoja tangu tupo form I - ni mtu wangu wa karibu sana.

Tulipomaliza chuo, mimi nikapata offer kufanya kazi CRDB, lakini kwa vile sikupenda kuajiriwa, nikampigia pande ile nafasi, akaipata. Analipwa gross ya 1M.

Hapo alipo, anauwezo wa kuchukua mkopo wa 30M+, kwa riba ya 6%. So akichukua 30,000,000 atarudisha na riba ya Tsh 1.8M - which is a nothing for a 3+ years loan.

Hivi wangapi leo wakiwa na nafasi ya kuchukua mkopo kama huu - watakubali ? na ni wangapi watakataa?

Lakini nakuambia, ni miaka nenda rudi, huyu jamaa hachukui mkopo, na tena anataka kuhama hapo, amepata post nyingine watampa 1.2M Gross.

To me, he is just as stupid as other stupids. Tatizo ni kwamba, huyu jamaa hana spirit wala wazo la biashara - na wala hataki kuthubutu kufanya hivyo.

Matokeo yake, wanaopata mikopo wanaishia kununua magari na wakati hawana chanzo kingine cha fedha zaidi ya mshahara ambao unakatwa kila mwezi kulipia mkopo!

Kwanini usiwekeze alafu faida ndio uitumie kununulia gari?

Kama ni kweli Carmel unataka kujiajiri siku za usoni, basi mtaji usiuone kama tatizo. Asikudanganye mtu, unapokuwa na wazo zuri, hela inakuja yenyewe bila hata hodi!

Mimi wakati naanza kujiajiri nilikuwa sina hata Tsh 10. Ushauri niliokupa hapo juu, hata mimi nilipewa na watu wazima waliofanikiwa kibiashara. Nakumbuka kuna mzee mmoja entrepreneur aliniambia "Money has never been a problem" - and now I see this is very true!

Aliniambia "tafuta wazo, kama litakuwa ni zuri, hela itakufuata"

Then nikaanzia hapo, nikatafuta wazo - I thought of writing a software for hospitals, kwa sababu nyingi zilikua haziko computerized.

Next month, nikakutana na mkurugenzi mkuu (Jina la hospitali naliweka kapuni kwa sasa), ilikua ni kama bahati tu maana huyu jamaa ni mtu adimu sana. Nikampa wazo langu, ila nikamwambia kuwa "mimi ni kijana nimemaliza chuo, sina mtaji ila nina uwezo wa kufanya kazi na nina mawazo mazuri ya kibiashara kwenye software development."

I am telling you, it took him only 10 minutes, yule mzee akaniambia - "Nataka tuwe patners, niambie gharama za kutafuta ofice na kila kitu" - tukabadilishana namba za simu.

Kwa vile nilikua mwoga sikutaka nipoteze ile chance, nikambambia kuwa 10M ingetosha kufanya project ya miezi minne pamoja na gharama nyingine za internet, office n.k.

He wrote me a 5M cheque the next monday kwa kuanzia, na nyingine niipitie after 2 weeks. Nilipokwenda after two weeks, nikakuta tayari ameshatafuta office na kila kitu - akaniambia hiyo 10M ilikua ni yangu kwa ajili ya kufanya kazi na kununua vitu kama computers n.k. I was supprised!

That's how a started a business to this day. Nilianza kujiajiri kwa staili hiyo. Nauhakika, kama ningekuwa nasema siwezi kujiajiri sababu sina mtaji, nisingefika hapa nilipo hii leo.

And today, I am sharing the very same thing I learned:

"Money has never been a problem in this world. If you are determined and full of innovative ideas, money will follow you always"

GOD bless you.
 
kaka naomba uweke picha nzuri jamani kama ya samaki baharini, panya sisimizi..ndege hata picha yako hii nyingine mie nimeota usiku inaogopesha :(

nakupenda!! Lakini usijali...hivi kwani hiyo picha yako ni ya kwako?
 
Firstlady,

Jibu ni ndio. Ukiwa ni qualified HR unaweza kabisa ukajiajiri. Kwa kuwa muda wangu ni mdogo sitakwenda kwa undani kueleza how lakini mimi nilisoma HR na nina ka ofisi ambako kwa kweli nashukuru Mungu kananilipa.

Tiba

well done thanks

We firstlady nawe bana,sasa hapo umepata nini?Ulitakiwa umwombe huyu muheshimiwa amwage details ili umsadie Carmel.Hicho alichoandika ni sawa na hamna kitu.Lengo ni mawazo(detailed) mbalimbali kwa Carmel na wengine in similar situations ili waweze ku-figure out nini cha kufanya.Sasa wewe unaridhiiiika na majibu rahisi kwa maswali mazito.Acha hizo bana!

Oyaa Tiba,chekicheki time kama vipi mwaga hayo ma-detail .

Carmel babe,ni-PM.
 
Back
Top Bottom