I am a language teacher just in case you are interested

Goar

Member
Jun 17, 2010
18
1
Kama unahitaji kujifunza kingereza cha kuongea na kuandika, au kifaransa au kiswahili, unaweza kunipigia simu namba(+255714855778). Utajifunza kwa wakati wako, mahali panapokufaa kwa siku zinazokufaa ila course nzima ni ya siku 30. Malipo ni laki moja kwa wale wanaotaka kujifunza kingereza na wangependa kulipa yote kwa pamoja ila ukilipa kwa siku ni 5000 kwa kila siku unayojifunza. kwa lugha za kiswahili na kifaransa ni 150,000 kwa course nzima au 10,000 kama utapenda kulipa kwa kila siku unayojifunza.
 
Labda ungefafanua zaidi unaposema mala popote. Je ukipata mtu wa tabora na mwingine Pemba utawhudumiaje?
 
Kama unahitaji kujifunza kingereza cha kuongea na kuandika, au kifaransa au kiswahili, unaweza kunipigia simu namba(+255714855778). Utajifunza kwa wakati wako, mahali panapokufaa kwa siku zinazokufaa ila course nzima ni ya siku 30. Malipo ni laki moja kwa wale wanaotaka kujifunza kingereza na wangependa kulipa yote kwa pamoja ila ukilipa kwa siku ni 5000 kwa kila siku unayojifunza. kwa lugha za kiswahili na kifaransa ni 150,000 kwa course nzima au 10,000 kama utapenda kulipa kwa kila siku unayojifunza.

Tunatafuta mwalimu wa Kiingereza kwa watoto wa dada yangu. Andika hilo tangazo lote kwa Kiingereza, ukitumia sarufi, herufi kubwa na ndogo, mikato, na maneno fasaha ya Kiingereza. Nikutathmini kwanza.
 
Goar, je vous remercie pour cette information. Êtes-vous à Dar es Salaam?

Je suis actuellement à la recherche d'un professeur de français. Je vous appellerai pour plus de discussion.

Merci.
 
Teacher naona ameamua kula kwona, kaka mie nataka unifundishe kiswahili ila kiwe cha ki-temeke temeke..si unajua yale maneno ya shombo ya juma nature kibla ..ahahah..mwalimu kiswahili unachofundisha ni kipi kile fasaha au chetu hiki cha uswazi?
 
Kama unahitaji kujifunza kingereza cha kuongea na kuandika, au kifaransa au kiswahili, unaweza kunipigia simu namba(+255714855778). Utajifunza kwa wakati wako, mahali panapokufaa kwa siku zinazokufaa ila course nzima ni ya siku 30. Malipo ni laki moja kwa wale wanaotaka kujifunza kingereza na wangependa kulipa yote kwa pamoja ila ukilipa kwa siku ni 5000 kwa kila siku unayojifunza. kwa lugha za kiswahili na kifaransa ni 150,000 kwa course nzima au 10,000 kama utapenda kulipa kwa kila siku unayojifunza.

语文教师 Goar;

表示感激
 
Kama unahitaji kujifunza kingereza cha kuongea na kuandika, au kifaransa au kiswahili, unaweza kunipigia simu namba(+255714855778). Utajifunza kwa wakati wako, mahali panapokufaa kwa siku zinazokufaa ila course nzima ni ya siku 30. Malipo ni laki moja kwa wale wanaotaka kujifunza kingereza na wangependa kulipa yote kwa pamoja ila ukilipa kwa siku ni 5000 kwa kila siku unayojifunza. kwa lugha za kiswahili na kifaransa ni 150,000 kwa course nzima au 10,000 kama utapenda kulipa kwa kila siku unayojifunza.


Bandika CV yako tafadhali.
 
Goar, je vous remercie pour cette information. Êtes-vous à Dar es Salaam?

Je suis actuellement à la recherche d'un professeur de français. Je vous appellerai pour plus de discussion.

Merci.


Mh! mkuu umeniacha!
 
Mh! mkuu umeniacha!

Pole mkuu. Sina lolote nime google tu kuandika kicho kifaransa uchwara!. Nimesema hivi:

Goar, asante kwa taarifa hii. Upo Dar es Salaam? Natafuta mwalimu wa kifaransa. Nitakupigia kwa majadiliano zaidi.

Asante

Ila ki ukweli kabisa napenda kujifunza ili siku moja niweze kuzungumza kifaransa kwa ufasaha zaidi!
 
Ungeweka kwa lugha zote tatu! Nimejaribu hapo chini:

Kiswahili:
Kama unahitaji kujifunza kingereza cha kuongea na kuandika, au kifaransa au kiswahili, unaweza kunipigia simu namba(+255714855778). Utajifunza kwa wakati wako, mahali panapokufaa kwa siku zinazokufaa ila course nzima ni ya siku 30. Malipo ni laki moja kwa wale wanaotaka kujifunza kingereza na wangependa kulipa yote kwa pamoja ila ukilipa kwa siku ni 5000 kwa kila siku unayojifunza. kwa lugha za kiswahili na kifaransa ni 150,000 kwa course nzima au 10,000 kama utapenda kulipa kwa kila siku unayojifunza.

Kiingereza:
If you want to learn English (both Speaking and writing), French or Swahili, you can call me on this number (+255 714 855778). You will learn at a time, place and day that suit you but the course duration is 30 days. For those who want to learn English, the fee is 100,000 shillings if paid in advance or 5,000 shilling per day if you wish to only pay on the day that you attend class. For Swahili and French, the fee is 150,000 shillings per course or 10,000 shillings if you wish to only pay on the day that you attend class.
Kifaransa:
Si vous voulez apprendre l'anglais (oral et écrit), français ou swahili, vous pouvez m'appeler sur ce numéro (+255 714 855778). Vous apprendrez à un moment, le lieu et le jour qui vous convient, mais la durée du cours est de 30 jours. Pour ceux qui veulent apprendre l'anglais, le prix du cours est de 100.000 shillings s'il est payé à l'avance ou 5.000 shillings par jour si vous souhaitez ne payez que le jour que vous aller en classe. Pour en swahili et en français, le prix du cours est de 150.000 shillings par cours ou 10.000 shillings si vous souhaitez ne payez que le jour que vous aller en classe.
 
Asante sana, kwa sasa niko Dar es Salaam kwa hiyo kwa wale walioko nje ya Dar haitawezekana.

Labda ungefafanua zaidi unaposema mala popote. Je ukipata mtu wa tabora na mwingine Pemba utawhudumiaje?
 
I am currently in Dar es Salaam, sorry for those that are out of Dar, i can only attend to those in Dar es Salaam. The easiest means of contacting me is through my cell phone because i am not always on the internet, so for those that are interested please use my number (+255714855778), you can even flash me and i will give you a call and explain more.
 
I am currently in Dar es Salaam, sorry for those that are out of Dar, i can only attend to those in Dar es Salaam. The easiest means of contacting me is through my cell phone because i am not always on the internet, so for those that are interested please use my number (+255714855778), you can even flash me and i will give you a call and explain more.

Hapo kwenye red mwalimu umechapia itabidi kupunguza ada
 
I am currently in Dar es Salaam, sorry for those that are out of Dar, i can only attend to those in Dar es Salaam. The easiest means of contacting me is through my cell phone because i am not always on the internet, so for those that are interested please use my number (+255714855778), you can even flash me and i will give you a call and explain more.

Ndio mambo ya Common Market hayo yameanza nini...
 
Back
Top Bottom