adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 10,952
- 23,100
Habari za mchana wa Jf..
Mtu nisie mjua namba inaonyesha sio ya Tz amenitext Wasap kwa jumbe hiyo chini ,kutoka na utapeli wa mitandaoni kuenea mimi japo sina uzoefu na mambo hayo ila nahisi moja kwa moja ni tapeli.
Naomba wazoefu mtu dondoo kuhusu matapeli wa aina hawa kama ni kweli tapeli ili tusije kuingia mkenge kichwa kichwa wakati hatujui.
Mtu nisie mjua namba inaonyesha sio ya Tz amenitext Wasap kwa jumbe hiyo chini ,kutoka na utapeli wa mitandaoni kuenea mimi japo sina uzoefu na mambo hayo ila nahisi moja kwa moja ni tapeli.
Naomba wazoefu mtu dondoo kuhusu matapeli wa aina hawa kama ni kweli tapeli ili tusije kuingia mkenge kichwa kichwa wakati hatujui.