Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 476
- 1,244
Nchi hii inahitaji marekebisho makubwa sana ya katiba kuhusu ukiukwaji wa maadili wa viongozi wa umma, hasa eneo la wabunge inapobainika wamevunja maadili ya utumishi wa umma.
Paulina Gekuli alipaswa avuliwe ubunge moja kwa moja, haiwezekani mwakilishi wa mwananchi ndiye mnyanyasaji wa mwananchi, halafu aendelee kuwakilisha wananchi.
Nchi zilizoendelea kwa kitendo hiki Paulina Gekuli alipaswa aondolewe awe raia wa kawaida na mashitaka yafuate.
Tunahitaji marekebisho ya katiba kuhusu eneo hili.
Paulina Gekuli alipaswa avuliwe ubunge moja kwa moja, haiwezekani mwakilishi wa mwananchi ndiye mnyanyasaji wa mwananchi, halafu aendelee kuwakilisha wananchi.
Nchi zilizoendelea kwa kitendo hiki Paulina Gekuli alipaswa aondolewe awe raia wa kawaida na mashitaka yafuate.
Tunahitaji marekebisho ya katiba kuhusu eneo hili.