Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,183
- 10,496
Bruce Lee ni mchina wa Hong Kong. Hong Kong walitawaliwa muda mrefu na waingereza. Hivyo majina yao yamechanganyika na kizungu. Mfano kama kama Jack(Jack Chen), Donnie(Donnie Yen) n.kHata jina Bruce ni la kimarekani.
Mchina anaezaliwa china hawezi pewa jina la bruce.
Ijapokuwa si wote ila wengi wao wenye majina ya kizungu na kichina ni wa Hong Kong.