View attachment 419391View attachment 419392hapa tatzo ni camera ya simu maana alivyopigwa na simu yake tunda katoka vizur sana ila alivyopigwa na camera ya lemutuz katoka vibaya kama anamaraliaa
kupatwa kwa camera ya le mutuz
tunda kimaro mrembo wa kirombo, shimboni shakeTunda bhana ni msichana au video queen pekee anaye jielewa TZ nzima tofauti na video queens wengine kama Masogange, Amber Lulu, Gigy money nk
Sifa kuu inayomtofautisha Tunda na video queens wengine kwanza anajali na anajua nini maana ya mlo kamili ( balanced diet) tofauti na hao wengine ambao wanashindia chips kuku tu bhasi hawataki kabisaa kusikia habari za ugali hata kidogo
Pili Tunda bhana hanaga njaa za kijinga jinga kama akina Gigy money na Amber Lulu ambao maisha kwao hayaendi bila kuuza miili yao na kupost picha zisizokuwa na maadili
Haya ni maoni yangu tu wadau kwa leo
,aya uwanja wenu wadau na nyinyi tiririkeni
View attachment 412837
View attachment 412838
Hii hapaAisee, natamani kuona miguu yake
Hakuna mwanamke anakula chips kama Gigy Money.
Anakulaga hadi nusu sado.
haaaaa jamani nimecheka hadi nataka kupaliwa lolHakuna mwanamke anakula chips kama Gigy Money.
Anakulaga hadi nusu sado.
jamaaa anakuwa banned anafunguliwa anarud tenahance mtanashati banned in peace
Hahahaajamaaa anakuwa banned anafunguliwa anarud tena
aiseee huyo mtoto umemjuaje maana mi nimecheza nae sanaAnaitwa Tunda Sebasitana,mtoto wa Afande.
aiseee huyo mtoto umemjuaje maana mi nimecheza nae sana