Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,484
- 94,435
Kazi tunayo
Kama ulicheza nae ulishindwaje kumjua jina acha undezi wewe!aiseee huyo mtoto umemjuaje maana mi nimecheza nae sana
Alihukumiwa tena na mahakama ya mwanzo..anatumikia kifungo, soon atarudihance mtanashati yupo wapi? mbona juzi nilimwona around
Mkuu alitenda kosa gani tenaAlihukumiwa tena na mahakama ya mwanzo..anatumikia kifungo, soon atarudi
Acha ubwege ww..!! Una uhakika gani kma yeye hauzi mwili..!!!Tunda bhana ni msichana au video queen pekee anaye jielewa TZ nzima tofauti na video queens wengine kama Masogange, Amber Lulu, Gigy money nk
Sifa kuu inayomtofautisha Tunda na video queens wengine kwanza anajali na anajua nini maana ya mlo kamili ( balanced diet) tofauti na hao wengine ambao wanashindia chips kuku tu bhasi hawataki kabisaa kusikia habari za ugali hata kidogo
Pili Tunda bhana hanaga njaa za kijinga jinga kama akina Gigy money na Amber Lulu ambao maisha kwao hayaendi bila kuuza miili yao na kupost picha zisizokuwa na maadili
Haya ni maoni yangu tu wadau kwa leo
,aya uwanja wenu wadau na nyinyi tiririkeni
View attachment 412837
View attachment 412838
Tutake radhi mkuu!Hahahahaha mnyakyusa yule kama kawaida yao hawana balanced diet wao kila kipitacho twende kazi
Hiyo Avatar yako tu uwa simalizi kuchekaHakuna mwanamke anakula chips kama Gigy Money.
Anakulaga hadi nusu sado.
Sasa mbona picha hiyo kapigia chooni?Tunda bhana ni msichana au video queen pekee anaye jielewa TZ nzima tofauti na video queens wengine kama Masogange, Amber Lulu, Gigy money nk
Sifa kuu inayomtofautisha Tunda na video queens wengine kwanza anajali na anajua nini maana ya mlo kamili ( balanced diet) tofauti na hao wengine ambao wanashindia chips kuku tu bhasi hawataki kabisaa kusikia habari za ugali hata kidogo
Pili Tunda bhana hanaga njaa za kijinga jinga kama akina Gigy money na Amber Lulu ambao maisha kwao hayaendi bila kuuza miili yao na kupost picha zisizokuwa na maadili
Haya ni maoni yangu tu wadau kwa leo
,aya uwanja wenu wadau na nyinyi tiririkeni
View attachment 412837
View attachment 412838
Hahahahahahaha pole bhana jitahid ubalance chakula maana ndugu zako wanakula kwa fujo haoTutake radhi mkuu!