Version:1.0 StartHTML:0000000167 EndHTML:0000000818 StartFragment:0000000454 EndFragment:0000000802 Nakubaliana na wewe kaka,topic hiyo inafaa pia ungefungua thread na wewe ingekua poa sn...mbona wengine wanaweka thread za watu wanaowaamini nyingi tuu.
Ukweli utabaki palepale,mtanzania mwenye utu na upendo anawahitaji hawa Drz. Salim,Magufuli na Slaa ila mbinafsi atawapinga maana anajua wengi tutakuwa kama yeye.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.