yutong
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 1,601
- 338
Huyu ndio rais tunayemtaka baada ya JK,akisaidiana na waziri mkuu Dr. J.P.Maghufuli na makamu wake Dr, W.B.Slaa...hii ni kutokana na hali ya nch yetu ilivyo....neemaaa Tanzaniaaa naiona ikakuja kwa kassiiiiiiiiiii kwa hawa waheshimiwa.
Kaka huyu si walisema sio mtanzania? au baada ya uchaguzi karejea tena kuwa mtanzania?