Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Nchi hii tufike mahali tuchague rais msomi wakweli asiyeweza kucheza maigizo yakijinga...
Nafasi ya uraisi huwa inagombewa na vi...za nasisi raia tunashangilia makiki ya kijinga!!
Mf. Mrema,makonda,januari,mwigulu,sa10mbowe,salaam hawakupaswa hata kuwaza uraisi
 
Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.

Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki.

Wapo waliohoji maigizo yale yalikuwa na haja gani, basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja akasema anasoma NIT.
NB-;
Tafadhali tutazame picha na kila mtu atakuwa na jibu lake!
Tazama hii video ambapo alihojiwa kama mfanya biashara wa madafu (tilia maanani maneno yake kua anajua karate na kick boxing) then tazama picha za Muungano na muuza madafu

View attachment 2975322
View attachment 2975323
Pia soma
- Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?

View attachment 2974869

View attachment 2974798

View attachment 2974800
Sio yeye hata ukiangalia lips za mdomo sema wanaelekea kufanana tu,
Unataka kusema captain Wa jesh akauze madafu
 
Muuza Madafu akicheza Karate, Judo na Kuzungusha Mapanga mama hana akili nzuri...
Anansema sasa Hivi kanunua Boda boda..

Sasa nyie jichanganyeni mkijua ni Muuza madafu 😂😂
 
Ndugu zangu Watanzania,

Uchunguzi wa kina nimeufanyika na kuona kuwa muuza madafu aliyeonekana katika viwanja vya ikulu na Mwanajeshi kutoka kikosi maalumu cha Makomando waliofanya maonyesho siku ya leo ya kuazimisha miaka 60 ya Muungano ni watu wawili tofauti kabisa. Na hapa chini ndio vitu nilivyotizama kwa ukaribu na kuonesha siyo mtu mmoja.

Cha kwanza ni pua zao ukitizama kwa ukaribu na kwa umakini unaona kabisa pua zao zinatofautiana na wala hazifanani hata kidogo.angalia upana na urefu wa pua zao,angalia muonekano na muundo wa pua zao kutoka chini ya macho mpaka eneo zinapotanukia na ukaaji wa matundu yote mawili ya pua kwa kila mmoja.

Pili ni mdomo tizama midomo yao ilivyo kwa ukaribu, tizama ukaaji wa lipsi zao katika picha ambazo ziliwachukua wakiwa wamefumba midomo tizama mkao wa midomo yao kutoka eneo la chini kidogo ya pua kushuka chini.

Tatu ni muonekano wa sura kuanzia mashavu,paji la nyuso zao wote wawili, ukubwa wa macho yao na ukaaji wa macho ikiwa ni pamoja na muonekano wake katika kuingia ndani.na namna wanavyoonekana katika picha zilizowachukuwa wakiwa wamefumba midomo.

Haya kwa uchache tu ukiyaangalia unagundua kuwa watu hawa ni watu wawili tofauti kabisa.na siyo kweli kwamba ni mtu mmoja.

Picha nazileta muda siyo mrefu.

Kazi iendelee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.

MAMA ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili kutokana na uchapa kazi wake uliotukuka.
Lucas mdogo wangu!
Kuna mambo mengine yakuacha..

Wee unaamini Alivyosema Juzi kwamba amenunua pesa kwa pesa ya madafu anayouza..?

Kwahyo sasa hivi ni Boda boda?

Sasa nataka ujiulize kitu kuna muuza madafu anaweza cheza na Vifaa na Silaha namna hii?
 
Kikachero wapi wanashindwa kuwadhibiti wakimbizi wanaingia mpka kwenye ma vyeo makubwa Serikalini na Utumishi wa Umma Halafu wanaleta Telemundo za Kifilipino na MUUZA NAZI😂😂 Ndo mana Ba hima Empire wanatuona kiusalama na kiinjelijensia weupee peee labda kijeshi
Tunawaanika sana makachero wetu ni kosa kubwa Sana kiusalama
 
Huy
Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.

Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki.

Wapo waliohoji maigizo yale yalikuwa na haja gani, basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja akasema anasoma NIT.
NB-;
Tafadhali tutazame picha na kila mtu atakuwa na jibu lake!
Tazama hii video ambapo alihojiwa kama mfanya biashara wa madafu (tilia maanani maneno yake kua anajua karate na kick boxing) then tazama picha za Muungano na muuza madafu

View attachment 2975322
View attachment 2975323
Pia soma
- Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?

View attachment 2974869

View attachment 2974798

View attachment 2974800
Huyo sio mimi. Mimi ni muuza madafu tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom