Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 2,596
- 6,413
😡 nani dogo we MaghayoDogo tulia
😡 nani dogo we MaghayoDogo tulia
Jamaa kaiva haswaaCaptain Commando naona Begani ana ⭐️⭐️⭐️ hiki ndio cheo ya Muuza madafu wa ikulu?
Tena jamaa ana bawa kifuani maana yake ni
kwamba amemaliza kozi zote za ukamando 92KJ Ngere what? Ngerengere
We unaejua mbona unaniuliza maswali..🤣🤣
Umeshindwa kuyajibu kwa sababu hujui unachokiongelea ndo maana unajificha nyuma ya lame excuse.
"Napenda sana uaskari ,nimejifunza box,kareti,Ukija bila gadi utapewa "MAPIGO" ya wastani bila idadi."
Sio yeye hata ukiangalia lips za mdomo sema wanaelekea kufanana tu,Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.
Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki.
Wapo waliohoji maigizo yale yalikuwa na haja gani, basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja akasema anasoma NIT.
NB-;
Tafadhali tutazame picha na kila mtu atakuwa na jibu lake!
Tazama hii video ambapo alihojiwa kama mfanya biashara wa madafu (tilia maanani maneno yake kua anajua karate na kick boxing) then tazama picha za Muungano na muuza madafu
View attachment 2975322
View attachment 2975323
Pia soma
- Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?
View attachment 2974869
View attachment 2974798
View attachment 2974800
Lucas mdogo wangu!Ndugu zangu Watanzania,
Uchunguzi wa kina nimeufanyika na kuona kuwa muuza madafu aliyeonekana katika viwanja vya ikulu na Mwanajeshi kutoka kikosi maalumu cha Makomando waliofanya maonyesho siku ya leo ya kuazimisha miaka 60 ya Muungano ni watu wawili tofauti kabisa. Na hapa chini ndio vitu nilivyotizama kwa ukaribu na kuonesha siyo mtu mmoja.
Cha kwanza ni pua zao ukitizama kwa ukaribu na kwa umakini unaona kabisa pua zao zinatofautiana na wala hazifanani hata kidogo.angalia upana na urefu wa pua zao,angalia muonekano na muundo wa pua zao kutoka chini ya macho mpaka eneo zinapotanukia na ukaaji wa matundu yote mawili ya pua kwa kila mmoja.
Pili ni mdomo tizama midomo yao ilivyo kwa ukaribu, tizama ukaaji wa lipsi zao katika picha ambazo ziliwachukua wakiwa wamefumba midomo tizama mkao wa midomo yao kutoka eneo la chini kidogo ya pua kushuka chini.
Tatu ni muonekano wa sura kuanzia mashavu,paji la nyuso zao wote wawili, ukubwa wa macho yao na ukaaji wa macho ikiwa ni pamoja na muonekano wake katika kuingia ndani.na namna wanavyoonekana katika picha zilizowachukuwa wakiwa wamefumba midomo.
Haya kwa uchache tu ukiyaangalia unagundua kuwa watu hawa ni watu wawili tofauti kabisa.na siyo kweli kwamba ni mtu mmoja.
Picha nazileta muda siyo mrefu.
Kazi iendelee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.
MAMA ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili kutokana na uchapa kazi wake uliotukuka.
Tunawaanika sana makachero wetu ni kosa kubwa Sana kiusalamaKikachero wapi wanashindwa kuwadhibiti wakimbizi wanaingia mpka kwenye ma vyeo makubwa Serikalini na Utumishi wa Umma Halafu wanaleta Telemundo za Kifilipino na MUUZA NAZI😂😂 Ndo mana Ba hima Empire wanatuona kiusalama na kiinjelijensia weupee peee labda kijeshi
Magufuli mbona hayumo kwenye hiyo orodha yako!?mrema,makonda,januari,mwigulu,sa10mbowe,salaam hawakupaswa hata kuwaza uraisi
Huyo sio mimi. Mimi ni muuza madafu tu.Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.
Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki.
Wapo waliohoji maigizo yale yalikuwa na haja gani, basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja akasema anasoma NIT.
NB-;
Tafadhali tutazame picha na kila mtu atakuwa na jibu lake!
Tazama hii video ambapo alihojiwa kama mfanya biashara wa madafu (tilia maanani maneno yake kua anajua karate na kick boxing) then tazama picha za Muungano na muuza madafu
View attachment 2975322
View attachment 2975323
Pia soma
- Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?
View attachment 2974869
View attachment 2974798
View attachment 2974800
Huyo sio mimi. Mnanifananisha tu.Magufuli mbona hayumo kwenye hiyo orodha yako!?